Hii kwangu ni mpya! Au ni mwanaume punguani?
Hii nayo inashangaza!
Hii ina kweli sana. Lakini mara nyingi wake zetu pia wanapenda kuhamisha vitu na kuweka wanapotaka bila kutoa taarifa kuwa wamehamisha. Either way, ni dhambi amabyo wengi tunaifanya.
Hii labda ni kwa wachache
The african way!Ukarimu wa mke ndio "unapimwa" vizuri!
Hizi pia ni kwa wachache sana.
Niseme nini wakati hapo unakuta kesha ni boa kwa kumsubiri zaidi ya nusu saa!?