Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

Hafadhali shosti umeamua kunena hapa
yaani ni wachafu kupundukia
ukiwaona kwa nje wana mvuto lakini ndani wameoza wananuka
 
Dada mie ninazo zote .... Mungu anisaidia, those are very common mistake kwa wanaume ...
 


Unajua maana ya neno dhambi???
Bado una usingizi, nenda ulale!!!!!!!
 
Ha ha haaa lol..you made my night, you mean utakuwa comedian flani?

ndio maana yake tena bora uwe mfupi ukiwa mrefu na kitambi juu upigilie singlend.. kutakuwa hamna haja ya kuwekea waototo katuni.....:majani7:
 

​mkuu inaonesha mke wako mkali sana
 
Reactions: SMU

Udhaifu wangu ni hiyo ya namba 8, mi mgumu sana kumsifia mke wangu akipendeza. Najua lazima anapendeza kwa vile nampa anunue anachotaka!
 
kula bata na mpenz wake wakati nyumbani kaacha mia tano ya matumizi

Dah sometimes unagonga panapouma mkuu, iko jamaa yangu yuko tayari aingie SACCOS avute mukwanja munene ale bata na demu la nje wakati home wanakula dagaa za kuvizia ndani ya mchuzi!!,
 
Hiyo no 14 ukweli mtupu,mtu anaamka anaacha neti hivyo hivyo,akirudi usiku anafunua net anaingia kulala,aisee kumbe hawa watu wanafanana eeh

Haa haa....safiri wiki nzima huo upenyo ndio utakuwa mlango wa kuingilia na kutokea kila iitwapo leo.
 
Hiyo namba5 kama ungekuwa ndo Mke wangu nina uhakika ungechukia sana...chakula kitu gani bwana...!!

Unafikiri issue ni uchoyo mkuu? Nafikiri issue kubwa hapa ni taarifa ili kama kawaida kunapikwa kilo moja ya unga, basi iongezwe nusu nyingine.....Maisha ya siku hizi kimazingira, ni tofauti na tulivyolelewa ambavyo ukiweka sufuria jikoni, ni lazima uongeze kidogo kipimo just in case atatokea mgeni....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…