Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

Hizi zote zina nihusu. Mke wangu akiwa hayupo home, nakosa raha na nyumba naiona kama pango. Namtegemea sana mke wangu, bila yeye maisha yangu ni mabaya. I love u mama J

hii allegations ya kurudi home mchana uonane na housegirl hujaitolea maelezo Mpwa
 
No no no siingii na viatu, sandles au hata kandambili, siwezi kabisa maana hua hata mimi napiga deki tukiwa wenyewwe

Ukiwa unapiga deki unakuwa umevaa bukta au kanga ya mkeo?
Ila hii tabia naichukia sana, utakuta lijitu linakuja kwako, nje kuna kapeti na viatu lakini atapangusa tope lake hapo na kuingia na viatu.
Sipendi, sipendi.
Ukiuliza eti ananuka miguu au soksi.
Wanakera.
 
Reactions: SMU
Mimi sio mchafu ILA usafi WA mke wangu unanikera sasa, live example ni Leo, nimeenda ibadani tena asubuhi kurudi tu nikabadilisha nivae nguo nyepesi ninywe chai, mara nashtuka nguo ziko kwenye dishi.

Kuna mahali tumetoka mchana tukarudi saa 11 jioni, nikavua tisheti yangu nipate upepo, natoka sasa hivi natafuta fulana nivae eti kaifua. Nimenuna kwakweli
 
Sasa kuvaa boxer au nguo chafu si kosa la mwanamke mwenyewe jamani.

Sasa wewe uvae nguo chafu useme mke hajakufulia au hajakuandali nguo safi???

Hivi hiyo ni sababu kweli?

Hiyo nguo unaivaa mwilini mwako au kwenye mwili wa mkeo?

Mikono mmepewa ya kazi gani?


(Nimekutumia wewe kama mfano kutokana na swali lako)
 

uyo mkeo atakuwa mnyakyusa afu maza house enh!!!
 

Shukuru kaka.
Kuna wengine majumbani mwao majanga matupu.
Mwanaume anavaa singlend mpaka inabadilikia rangi mwilini.
 
Kunya bila kunawa na sabuni
Kuachia rasta nywele za sirini na kwapani
 
13. Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika
14. Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege
15. Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
Hiyo no 14 ukweli mtupu,mtu anaamka anaacha neti hivyo hivyo,akirudi usiku anafunua net anaingia kulala,aisee kumbe hawa watu wanafanana eeh
 
. !!!
 
Nahisi hizi kero na siyo dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…