Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,731
- 218,307
AminaMungu Ibariki Chadema
funguka mkuu
lete ushahidiHuyu Minja mchaga ndiyo alilamikiwa na BAWACHA Morogoro kupewa Ubunge viti maalum kwa upendeleo kisa mchaga.
Tuongee tu ukweli anasubiri ufe ndio akupe msaada??Naomba nisiharibu usk wangu kumhusu huyo Abood wao!
Viva devota! Mapambano yaendelee!
Hili li mkoa kama lina laana!..mijitu inafurahia kupelekwa Kola kuzikwa mahosp hata pen v hakuna! Mamaeeee
hiyo nafasi 2020 lazima iende NCCR Mageuzi
Katikati ya changamoto kubwa fursa kubwa hupatikana pia.
Kuelekea Oktaba, Abood yawezekana masharti ya mganga kusaidia zika watu tu na si vinginevyo.
Dada kanigusa moyo wangu