Developers wa Tanzania, kwanini tusiungane?

Developers wa Tanzania, kwanini tusiungane?

Investaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
913
Reaction score
923
Habari developers, nimekuwa nijiuliza kwann sisi madevelopers wa TZ tusi organise tukafanya kitu kama wenzetu wazungu hao wapo chini. Tunaweza kufanya kituo ambacho kinaweza kutoa mahali tulipo kuliko kujifungia chumban pekee yako ukiisi utafanikiwa. Hakuna IT aliyefanikiwa akiwa peke yake.

Rai yangu ni tuungane pamoja ilituweze kusonga mbele.
 

Attachments

  • Untitled-1.jpg
    Untitled-1.jpg
    40.4 KB · Views: 111
Habari developers, nimekuwa nijiuliza kwann sisi madevelopers wa TZ tusi organise tukafanya kitu kama wenzetu wazungu hao wapo chini. Tunaweza kufanya kituo ambacho kinaweza kutoa mahali tulipo kuliko kujifungia chumban pekee yako ukiisi utafanikiwa. Hakuna IT aliyefanikiwa akiwa peke yake.

Lai yangu ni tuungane pamoja ilituweze kusonga mbele.
Hivi vitu ni vigumu kwa bongo kwa sababu kwanza vinahitaji rasilimali watu na kisha rasilimali fedha za kuendesha hiyo project. Ikiwa mtu kutafuta hela ya mkono kwenda kinywani ni ngumu sembuse ya kuendeshea project!? Wazo kama hili unatakiwa uanze nalo ukiwa chuoni watu hamjatawanyika lakini kwa mazingira ya kawaida ni ngumu unless uajiri watu waifanye
 
Hivi vitu ni vigumu kwa bongo kwa sababu kwanza vinahitaji rasilimali watu na kisha rasilimali fedha za kuendesha hiyo project. Ikiwa mtu kutafuta hela ya mkono kwenda kinywani ni ngumu sembuse ya kuendeshea project!? Wazo kama hili unatakiwa uanze nalo ukiwa chuoni watu hamjatawanyika lakini kwa mazingira ya kawaida ni ngumu unless uajiri watu waifanye
Nilishawekeza kipindi fulani resources zangu ili kuwaleta pamoja Devs wa Bongo. Niliishia kula hasara na hakuna aliyeniunga mkono. Sasa hivi natulia tu na kazi zangu. Kuwasaidia Wabongo wenzetu ni shida.
 
Nilishawekeza kipindi fulani resources zangu ili kuwaleta pamoja Devs wa Bongo. Niliishia kula hasara na hakuna aliyeniunga mkono. Sasa hivi natulia tu na kazi zangu. Kuwasaidia Wabongo wenzetu ni shida.
Tatizo letu wabongo kitu "investment" kwetu ni msamiati mgumu sana, mtu anataka aanze kufanya kitu hapo hapo aone na output zake hapo hapo, ndo maana waliona kama unawazingua, nimekuwa na ideas kibao kutekeleza imekuwa kitenda wili, nakumbuka kuna idea moja ya project hadi tuliiandikia grant na ofisi ya wilaya ikawa tayari kutufadhiri ila kilichotokea baadae ni sili yangu, tangu siku hiyo huwa sijishughulishi na wabongo tena
 
Kwa maana kila mtu alishajaribu ila hakugain kitu chochote na akahamua kuacha kabsa???? Kama ni hvo sion hata haja ya story maana hamna kurecreate tena hzo project.
 
Sifa za wabongo wengi
1. Waoga
2.Hawana uthubutu
3.Wepesi kukata tamaa
4.Hawaangalii kesho, bali wanajali sana leo atapata nini.
5.Wanaogopa kupata hasara, ila wanasahau pia hasara ni somo zuri la kupata faida.
 
Hivi vitu ni vigumu kwa bongo kwa sababu kwanza vinahitaji rasilimali watu na kisha rasilimali fedha za kuendesha hiyo project. Ikiwa mtu kutafuta hela ya mkono kwenda kinywani ni ngumu sembuse ya kuendeshea project!? Wazo kama hili unatakiwa uanze nalo ukiwa chuoni watu hamjatawanyika lakini kwa mazingira ya kawaida ni ngumu unless uajiri watu waifanye
Acha wajaribu wanaweza fanikiwa, me mwenyewe nilikuwa nahitaji kitu sema njaa ndo inanikwamisha, na nimeshafanya project zangu nyingi sema marketing Ndo imekuwa kikwazo kikuu, but kama ni group of inawezakana
 
Kenya wana kutu inaitwa technology incubators ihub na pivot, sisi watanzania tunaweza pia.

Let's be organized. Let's first create a whatsapp group for developers.
Kama ni incubation hub tuna Buni pale costech na bro J4 anafanya kazi nzuri sana.

Kinachoongelewa hapa kama nimeelewa sio hub bali connection na knowledge sharing something like User groups kwa wale wenye same hobby.
 
Hivi vitu ni vigumu kwa bongo kwa sababu kwanza vinahitaji rasilimali watu na kisha rasilimali fedha za kuendesha hiyo project. Ikiwa mtu kutafuta hela ya mkono kwenda kinywani ni ngumu sembuse ya kuendeshea project!? Wazo kama hili unatakiwa uanze nalo ukiwa chuoni watu hamjatawanyika lakini kwa mazingira ya kawaida ni ngumu unless uajiri watu waifanye


Kwaiyo solution ni nn?
 
Back
Top Bottom