T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,930
- 990
Bado? Umechelewa kupata taarifa mkuu.
Wewe uje ccm mkuu.kidumu chama cha mapinduzi
Bado? Umechelewa kupata taarifa mkuu.
ACT ipo kisayansi na akili zote bila ubaguzi zinapewa nafasi ndio maana ACT tunasema ni moto wa pumba kanyaga uone
Zitto awe makini nae sana usikute katumwa kwa kazi maalum na Freeman mboweHabari wadau wa JF,
Aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA Deus Mallya,aliyepata ajali na Hayati Chacha Wangwe mwaka 2008, ajali iliyosababisha kifo cha Wangwe ametangaza hadharani kwamba amejiunga na ACT wiki ijayo atatoa sababu za kuondoka CHADEMA. Nanukuu.
"Baada ya kushauriana na Watu wangu wa karibu, wakiwemo ndugu, jamaa, marafiki na familia yangu nimeamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Week ijayo nitatangaza wazi azma yangu hiyo mbele ya vyombo vya habari na na pia nitaeleza sababu za kuamua kuachana na CHADEMA"
Mwisho wa Kunukuu.
Wewe uje ccm mkuu.kidumu chama cha mapinduzi
Inaaminika ndiye aliyetumiwa na ma~gamba kutuulia Kamanda Chacha Wangwe.Deus Mallya ni nani ? ana cheo kipi CHADEMA ?
na ccm ni mafisadi wakubwa!Chadema ni wauwaji wakubwa
Mbowe choo imembana ,ile siri aliyokua anatunza itakuaje sasa?
Inaaminika ndiye aliyetumiwa na ma~gamba kutuulia Kamanda Chacha Wangwe.
Ushaidi unao?Huyu Mbowe anaweza "kummaliza" muda wowote, ana siri kubwa sana kuhusu kifo cha Chacha.
Kwa mwendo huu ACT itachukua dola
Kwa mwendo huu ACT itachukua dola
Sasa sisi inatuhusu nn...ukitaka kichaa asikusumbue mfukuze na makopo yake...xo makopo yake nenden tu ili kichaa wenu asitusumbue..