Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

Habari wadau wa JF,

Aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA Deus Mallya,aliyepata ajali na Hayati Chacha Wangwe mwaka 2008, ajali iliyosababisha kifo cha Wangwe ametangaza hadharani kwamba amejiunga na ACT wiki ijayo atatoa sababu za kuondoka CHADEMA. Nanukuu.

"Baada ya kushauriana na Watu wangu wa karibu, wakiwemo ndugu, jamaa, marafiki na familia yangu nimeamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Week ijayo nitatangaza wazi azma yangu hiyo mbele ya vyombo vya habari na na pia nitaeleza sababu za kuamua kuachana na CHADEMA"

Mwisho wa Kunukuu.


....so what? Hata akitaka ahamie fisiem.
 
Inasemekana(tetesi) alitumwa na mbowe kumuua Wangwe

Kuwa mwangalifu sana maandishi yako, soma sheria ya mitandao jf home page; inasubiri kutiwa saini na JK basi; watu waingie matatani!
 
Kwa hiyo sifa yake kuu ni kupata ajali na Chacha Wangwe?

Mkuu Ben wewe unamjua Ndugu Deus F Malya vizuri,sina uhakika kama alikuwa na cheo chadema zaidi ya kuwa Dereva wa Hayati Chacha wangwe na baada ya ajali jina lake ndio likasikika,uenda wengi wamemsahau na wangeuliza ni nani na ndio maana wasifu huo umetumika.
 
Birds of the same feather flock together, bado Joseph Ludovick soon atawa join wasaliti wenzake.
 
​kaaazi kweli kweli, wanachama wa ACT wanatokea CDM tu
 
ACT ipo kisayansi na akili zote bila ubaguzi zinapewa nafasi ndio maana ACT tunasema ni moto wa pumba kanyaga uone
 
Back
Top Bottom