Deus Kibamba : Rais hapaswi kupingwa

Deus Kibamba : Rais hapaswi kupingwa

Deus ni msomi mzuri lakini ata simuelewi misimamo yake
 
Jamani msimshambulie Kibamba ni kawaida tu mtu kubadilika kimtazamo kama alivyobadilika Kibamba na kama wengi walivyobadilika kuhusu misimamo yao kisiasa
 
Tulikuwa tunasema Deus Kibamba na Wenzie walikuwa na Chuki binafsi na Jakaya, Leo anasema Rais huwa hapingwi hadharani!
Naanza kuamini maneno yako!

Unajiuliza huyu mtu anaetoa hizi kauli ndio yule tunaemjua kweli??
 
Jamani msimshambulie Kibamba ni kawaida tu mtu kubadilika kimtazamo kama alivyobadilika Kibamba na kama wengi walivyobadilika kuhusu misimamo yao kisiasa
Wengine ni wengine na kama wamebadika kama Lipumba anavyofanya na sasa Kibamba lazima watu wawazodoe sana maana njaa zao zimewafanya wajitoe fahamu na endapo watu wataacha kukemea Unafiki huu Nchi itaongeza wanafiki kwa kasi kubwa .
 
Mbona mataifa kama Kenya na mengine Rais anakosolewa wazi wazi, au hiyo ya kutopingwa ipo Tanzania tu au ni style ya kutaka cheo
Kupingwa au kukosolewa kupo hata USA siyo Tanzania tu, Kibamba kuwa mpole tu kama ni uteuzi utapata tu.
 
Mhadhiri wa Chuo cha Diplomasia kilichopo Kurasini Dar es Salaam , ndugu Deus Kibamba asema Rais hawezi kupingwa waziwazi,amedokeza iwapo mtu ana mtazamo hasi kwa rais anapaswa kutafakari moyoni badala ya kumzungumzia vibaya rais. Amewaelezea wapinzani wa Tanzania jinsi wanavyomkosoa rais bila kuona mema yake.
Ameyasema hayo katika kipindi cha 360 cha Clouds TV .
Tell him and pogba they can go to hell!!
 
Ok....kweli kabisa maana prezdah ni saint

Ova
Kibamba ashaanza kuisoma namba, naona anataka kujipendekeza. Amepingwa, Obama na sasa Trump anapingwa anasema eti Rais harakiwi kukosolewa!!! Duh njaa mbaya.
 
yuko sahihi ndg.kibamba. urais ni taasisi kubwa na tukufu kimsingi. inapaswa kuheshimiwa
Sahihi kabisa wapinzani wa tanzania wanamchukulia rais kama adui yoa...namba 1.....wanachojua ni kupinga kwa kutumia maneno ya kejeli....hawaoni jinsi rais anavyopambana na ufisadi...wakati hiyo ilikuwa ni moja ya ajenda yao kuu....miezi kadhaa iliyopita...
 
Labda Ndalichako alivyosema wanaosomea diplomasia kupewa mikopo, ndio kakengeuka!!
 
Mhadhiri wa Chuo cha Diplomasia kilichopo Kurasini Dar es Salaam , ndugu Deus Kibamba asema Rais hawezi kupingwa waziwazi,amedokeza iwapo mtu ana mtazamo hasi kwa rais anapaswa kutafakari moyoni badala ya kumzungumzia vibaya rais. Amewaelezea wapinzani wa Tanzania jinsi wanavyomkosoa rais bila kuona mema yake.
Ameyasema hayo katika kipindi cha 360 cha Clouds TV .
Huu uwongo kabisa Mod 1 futeni huu uzushi Kibamba nimeongea naye muda huu anasema amelishwa maneno hajaongea maneno kama hayo
 
huyu ni muhadhiri ???nimeangalia may be dr au prof may atateuliwa na mkuu kumbe ni........ok jipendekeze zaid mhadhiri wetu may be atakuona
Aliiiunga na act huyo. Ni member wa zito, hakuna shavu hapo mkuu
 
siku tukianza kutazama upande wa pili wa sarafu Kweli na halisia itakaa nasi, hapo tutaanza kuwaza ubinadamu, umuhimu wetu duniani na Mungu atatuonyesha njia halisi hata maendeleo hayatakuwa ya tabu kwetu, lakini kwa kuwa tumeiacha kweli kuanzia kwenye mifumo yetu ya elimu kwa kuondowa uwezo wa kuhoji,tunapokuja kwenye uhalisia kweli hutudhihirishia kuwa tuliikataa hivyo uhalisia unatuadhibu. Habari njema ni kuwa Mungu anatupenda na bado twaweza kubadilika kuita kitu kwa rangi yake. Wengi hukosoa ama kusifu kwa maneno lakini mioyo yao iko mbali na wayasemayo, walengacho ni mkate na si sustainability ya jamii nzima.
 
Unamtukania nini??Hivi JPM.hakusema anatakakuwa Rais wa Malaika yaani.in short awe sawa na Mungu??Ulimtukana baada ya JPM kusema hivyo??Acha kutukana binadamu mwenzako na kumfananisha na Mbwa.Toa hoja na si vihoja vya matusi
Hakika Huyo ni wa kumwombea. Kumbe comment yangu inahitaji genius kama wewe kuielewa. Hongera Mkuu
 
Back
Top Bottom