masopakyindi;
You can say anything about this intelligent youngman called Deus Kibamba!
But the truth shall stand quoting that,the man is so bright and knows how to contruct his ideas straight to the points!
Kama kuna watu wamechangia kwenye Mchakato wa Rasimu ya katiba Mpya basi Deus Kibamba is one of them. Ni watu mazuzu na wavivu wa kufikiri ndio wanaweza kumbeza huyu jamaa.
Kuna watu wanaochangia hapa JF nina hakika ukiwapambanisha na Deus Kibamba watatoka mkuku! Huo ndiyo ukweli na ukweli lazima tuuseme kama ulivyo. Watanzania tuacheni unafiki ili tupone!
Mkuu naheshimu mawazo yako ingawaje they fall short!
Huyu Kibamba may be bright lakini reasoning yake iko clouded na upenzi wake na chama anachokipenda.
Kwa mwanasheria anayeujua mchakato wa utayarishaji wa sheria amefeli ku-appreciate naked facts.
Fact 1 Kwenye bunge Wapinzani ni minority
Fact 2 Wapinzani walikosea na hawashauriwa vizuri kususia mchakato maana numbers zao zisingewwza kuzuia mchakato wenyewe
Fact 3 mchakato wa muswaada ukitoka bungeni ni kama treni ambalo halisimami vituo vidogo. Kisheris hata JK asingekuwa na ubavu wa kukataa kudign katika mazingira yaliyokuwepo. Alternative yske ingekuwa kulivunja bunge na tuingie uchaguzi mkuu.
Fact 4 vyama vya upinzani vime fall short vile vile katika colective reponsibility na wenzao wa CCM. Sijui kama kulikuwepo na attempts A kunegotiatd ysle mazuri ambayo wangependa kama waTanzanis ysingie katika katiba. When they try to forcd their way , they will ofcourse find the door firmly shut! Na kwa misingi tu ya demokrasia ubavu huo hawana.
In actual fact mimi ni muumini wa aidha serikali mojz au tatu!
Msimamo huo si wa uongozi wa CCM lakini kuna wanachama wengi tu wanaoupendelea na kwa sababu maalum.
Hivyo basi, Kibamba angekuwa na akili kweli ange plead,convince na hata kuadvice watanzania wote na si CDM tu.
Sasa hivi sana aana ana act kama mwanaharakati asiyejua kile anachokita na kule anakotaka kwenda..