Deus Kibamba ni nani?

Deus Kibamba ni nani?

Ubango unaweza kuwa hauko sawa.. Kwani kila mwanaharakati ni chadema? Kila anaetetea maslahi ya wananchi ni chadema?

Kwa sababu ni sifa kubwa ya CDM kutetea maslahi ya umma. Hawezi mtu wa kijani kuwa na sifa hizo.
 
Mi nafurahi wanaposema jamaa nae ni chadema maana inadhihilisha wazi ni jinsi gani Chadema inafahamika kwa kuwa na watu vichwa na wanaowanyima usingizi wengine....kwa sbb imefikia mahali hata Yesu akishuka kutetea nchi hii basi mijinga flan inaweza kusema nae ni Chadema....mwabeja sana.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Mkuu huyo jamaa ni bomu!
Kama ameshindwa kuwafafanulia wapinzani maana ya utawala bora basi ni fiksi tu.
Hajui taratibu za utungaji sheria, na kina Lissu, Mbowe, Lipumba et al kwa kweli wameadhirika pamoja na matusi na kele zote zile hadi mishipa ikawatoka, muswaada umesainiwa na tuition wakula Ikulu.

Mabadiliko ni lazima lakini ni kwa nguvu ya hoja bungeni ,si kususia halafu kutegemea fujo na maandamano.
Ni dhahiri sasa huyo Kibamba ni mchumia tumbo tu kwa wanaomfadili.

ni kweli mkuu.ni mchumia tumbo tu.
 
Deus Kibamba ni mwenyekiti wa jukwaa la katiba, naomba kuuliza tafuatayo

1. Jukwaa la katiba ni nini?
2. Lina nguvu gani kisheria?
3. Linamuwakilisha nani?
4. Nani kamchaguwa kwenye cheo chake?
5. Background yake ikoje?

Asanteni sana

O level- Malangali Secondary School
A level - Milambo High School
Chuo - UDSM

KAZI
HakiArdhi, TGNP, TCIB na sasa Jukwaa la Katiba
 
Back
Top Bottom