Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Hata mimi simjui zaidi ya porojo na harakati zake za kipinzani basi,kwa mbali humgundua kwa muonekano wa ndevu zake za umbo o ambalo huko Zanzibar linawakilisha kundi fulani lenye kheri tu lakini.Deus Kibamba ni mwenyekiti wa jukwaa la katiba, naomba kuuliza tafuatayo
1. Jukwaa la katiba ni nini?
2. Lina nguvu gani kisheria?
3. Linamuwakilisha nani?
4. Nani kamchaguwa kwenye cheo chake?
5. Background yake ikoje?
Asanteni sana