Deus Kibamba ni nani?

Deus Kibamba ni nani?

Kila anayeeleza ukweli wa mambo ni CHADEMA, kweli akili nyingine ni za kushikiliwa nyuma kama mkasi!
Nyie ndo mwakamatwa ka mkasi maana hata mkikamatwa hamjijui.
Huyo jamaa yenu asivyo na akili kashindwa kuwafafanulia jinsi sheria inavyotungwa, na nyie mnajikamatisha tu ka mkasi.
 
DEus Kibamba ni moja kati ya vifaa vilivyoshushwa na Mwenyezi Mungu kwa ajili ya kuwakomboa Watanzania
 
Pa Kyindi acha ushabiki mkuu! Kubali yale yenye kujenga mustakabali tunaoutaka wa fikra mbadala na uchambuzi wa hoja za msingi kama anavyofanya Kibamba!

Mkuu huyo jamaa ni bomu!
Kama ameshindwa kuwafafanulia wapinzani maana ya utawala bora basi ni fiksi tu.
Hajui taratibu za utungaji sheria, na kina Lissu, Mbowe, Lipumba et al kwa kweli wameadhirika pamoja na matusi na kele zote zile hadi mishipa ikawatoka, muswaada umesainiwa na tuition wakula Ikulu.

Mabadiliko ni lazima lakini ni kwa nguvu ya hoja bungeni ,si kususia halafu kutegemea fujo na maandamano.
Ni dhahiri sasa huyo Kibamba ni mchumia tumbo tu kwa wanaomfadili.
 
Sasa hali imebadilika Tanzania. Kwani kila mpigania /mtetea haki za wananchi utasikia ni chadema.
Sasa naomba kuuliza...
Je kila mla rushwa,mng'oa meno na kucha bila ganzi, Jangili la tembo, Wauza sembe,na wenye tabia kama hizo ni chama gani?
 
kuna tatizo maana njaa mbele kwa lugha ya picha...wewe unajali kula tuu yaani kula chakula mpaka rushwa...njaa mbele ndio maana ya jina lako yaani ulafi
'Maso pakyindi' kwa Kinyakyusa inamaanisha 'Kutazama ugali'



Hamna Tatizo mkuu
 
ni SISIEM:disapointed:
Sasa hali imebadilika Tanzania. Kwani kila mpigania /mtetea haki za wananchi utasikia ni chadema.
Sasa naomba kuuliza...
Je kila mla rushwa,mng'oa meno na kucha bila ganzi, Jangili la tembo, Wauza sembe,na wenye tabia kama hizo ni chama gani?
 
Acha umburula wewe mrafi hoja gani iliyopo bungeni ni uongo na unafiki na ubabe dhahiri....kwani wewe hauoni mambo yalivyo?ni ufitini umewajaa na unafiki wa kukataa halal dhahiri
mkuu huyo jamaa ni bomu!
Kama ameshindwa kuwafafanulia wapinzani maana ya utawala bora basi ni fiksi tu.
Hajui taratibu za utungaji sheria, na kina lissu, mbowe, lipumba et al kwa kweli wameadhirika pamoja na matusi na kele zote zile hadi mishipa ikawatoka, muswaada umesainiwa na tuition wakula ikulu.

Mabadiliko ni lazima lakini ni kwa nguvu ya hoja bungeni ,si kususia halafu kutegemea fujo na maandamano.
Ni dhahiri sasa huyo kibamba ni mchumia tumbo tu kwa wanaomfadili.
 
- Hilo jukwaa wanafadhiliwa mapesa na nani ndio swali la msingi sana hapa mkuu!!

Le Mutuz

sidhani kama hoja ya anafadhiliwa na nani ni muhimu,cha muhimu ni je kuna walakini kwa anachokifanya?jibu ni hakuna.Basi hoja na maswali yote hayana mantiki,hata kumjua mfadhili hakuna maana kama anachokifanya kinakubalika;ofcourse ndio maana yupo na ofisi yake inaendelea.
 
Sijui mshabiki wa chama gani lakini ni mmoja wa raia aliyetumia ubongo wake kwa maslahi ya wengine hata kama ana ajenda nyingine,he is the greatest compared to you ndo maana umemuulizia!
 
Mavi wewe na wewe kasake lako
sio unakaa hapa kama malaya wa uswahilini kazi ni kubeza tuu pasipo facts

Mkuu punguza jaziba kidogo, japo wanauzi kama huyo anayejiita msalani anaakili kama Id anayoitumia. Ila nakushauri hakuna aja ya kujibizana na mataaira kama hao.
 
KWANZA WEWE NI MBWA KOKO NA UKWELI UNAO MOYONI
Sijui mshabiki wa chama gani lakini ni mmoja wa raia aliyetumia ubongo wake kwa maslahi ya wengine hata kama ana ajenda nyingine,he is the greatest compared to you ndo maana umemuulizia!
....haya tena...!!!!
 
Sasa hali imebadilika Tanzania. Kwani kila mpigania /mtetea haki za wananchi utasikia ni chadema.
Sasa naomba kuuliza...
Je kila mla rushwa,mng'oa meno na kucha bila ganzi, Jangili la tembo, Wauza sembe,na wenye tabia kama hizo ni chama gani?

Mkuu Eddo, ata wewe kwa kufikiri hivyo unaonekana ni chadema, ila naofika kucha na meno yangu kwa hiyo jibu siku ingine
 
...aaah! aaah! aaah! we Mvaa Tai ni mchokozi sana...kuna mzee mmoja aliniambia "ukiona mbwa wako anawabwekea ndege(mwewe) wanaopita angani,ujue ndo baaaasi tena ameisha-vurugwa!"...
Kama katika umri ulionao unachoweza kumkumbuka huyo mzee wako ni jinsi ya kuvugwa ,basi wewe na huyo mzee mna matatizo makubwa.
Jitajidi usirithishe tabia hiyo kwa watoto wako.
 
Acha umburula wewe mrafi hoja gani iliyopo bungeni ni uongo na unafiki na ubabe dhahiri....kwani wewe hauoni mambo yalivyo?ni ufitini umewajaa na unafiki wa kukataa halal dhahiri
Sitajishusha hadhi kubishana na wewe, no use wallowing in dirt!
 
Nyie ndo mwakamatwa ka mkasi maana hata mkikamatwa hamjijui.
Huyo jamaa yenu asivyo na akili kashindwa kuwafafanulia jinsi sheria inavyotungwa, na nyie mnajikamatisha tu ka mkasi.
Utajibeba!!!
 
Back
Top Bottom