I humbly first tell you that I will not adhere to your onyo as long as what you are stating is suprising na lazima uamabiwe ukweli na hii sio attack ujue hilo
Pili hivi wewe
BOB LUSE una nini na wanawake?
umezaliwa na mwanaume peke yake au?
Nionavyo mimi ni wazi kuwa you are not lucky with women ndo maana huishi kuja kuwapondea hapa,na ikiwa ndivyo ilivyo ni wazi kuwa huna hekima na hujui kusoma alama za nyakati na kufanya maamuzi ya sahihi na pengine unalazimisha affection hata sehemu ambayo hakuna lepe la affection kisha mazito yanakukuta
Tena huna heshima na wanawake pia na kumbuka kuwa statements zako umezigenerelazi hukuweka exceptions hii ikimaanisha kuwa hata mama zako,dada zako,shangazi zako waote wanafall hapa na hayo unayoyasema yanawahusu pia
wale ambao wamekuwa blessed na mahusiano mazuri na yenye afya ya uchumba familia na urafiki hutaka uwasikie wanakuja kuponda hapa,sasa kwa wewe na mfululizo wako wa thread za kupondea wanwake tu Napata shaka juu ya mahuiano yako na hawa viumbe,kwa mbali naonnaaaa maumivu ndani yako na kutendwa pia.