Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,766
- 145,552
Tatizo lako unafikiri kila mwanamke ni malaya masikini.money speak my dear! men can only be lonely when they are penniless dead meat
Tatizo lako unafikiri kila mwanamke ni malaya masikini.money speak my dear! men can only be lonely when they are penniless dead meat
I greet you all.
Watajwa hapo juu ni wanawake ambao hawana waume/mahusiano ya kudumu.
Wanaomba wapate japo mwanaume atakaweza kumsitiri, wengi wao ni wale ambao umri wa kugombaniwa na wanaume umepita kundi hili ndio wateja wazuri wa waganga wa kienyeji kwaajiri ya kusafisha nyota na kununua MGAGANE, ili aweze kuwanasa wanaume.
Tatizo lililopo ni baadhi yao wako very complecated, anaweka sifa na vigezo utafikiri ametoka kufanya NECTA Mwaka jana. Wadada, ukiwa kwenye fainali usisumbue bidders (watarajiwa) kuwa mnyenyekevu shukuru kwa yeyote anayekujia mradi anaakili timamu na anaweza kujitegemea na imani zenu ziwe sawa achana na kutafuta HB mda umeshakuacha!
Karibu tujumuike
Onyo, nothing personal here so don't come crushing to attack an innocent messenger like me.
Khaaaaa we mdada umefanya nikomenti bila kupenda, nimekusoma weeee nimeshindwa kujizuia loooh! yaani we huwa uko bize kufanya utafiti kumbeeeeelazima yatakuwa yamelegea we angalia ukiwa unasex utaona yanafanya kama kuchapa k, kijana wa miaka 22 yamekaza.tena nyie wanaume mkifika 29 kuendelea mnaaza kuchakaa na mnachakaa vibaya mno basi ni vile tu sie wanawake ni wavumilivu.
i don't followYou know what?!! You could be right!! In fact, You are right! As I always say, ukisikia "yalaaaah"......
Wahanga ni wengiSiwezi kujibu swali ambalo halipo.
Acha copy and paste.
Ukiona Kiranga kaandika "Hujajibu swali" kwa sababu hajajibiwa unataka ku copy na ku paste.
Hata kama huna swali lisilojibiwa.
Wahanga wa vibuti wanaohamanika kwa nini wanawake wenye umri mkubwa bado wana standards kubwa ni wengi.Wahanga ni wengi
Kiranga njoo pmWahanga wa vibuti wanaohamanika kwa nini wanawake wenye umri mkubwa bado wana standards kubwa ni wengi.
Kama wewe.
Hujajibu swali bado. Swali lako unaloniambia sijajibu liko wapi?
Anayetaka PM anaandika tu, PM una habari gani ya siri?Kiranga njoo pm
Unajihami????Anayetaka PM anaandika tu, PM una habari gani ya siri?
Unataka kunipa dada yako?
Huna cha kunifanya nijihami. Mtu mwenyewe hata PM inabidi utume maombi, huna uti wa mgongo, nijihami kwa kipi?Unajihami????
Nimerusha jiwe gizani mwakwetu! kama.limekupata niwie radhi,kwa jinsi ulivyoshusha jazba sio bure! pia siamini kama ume comment kama coincidenceKwajiri = kwa ajili.
Kwanza kabisa acha kusema vitu ambavyo huna uhakika navyo.
Nikiomba uthibitisho wa hayo usemayo utanipa kuwa wanawake tajwa hapo juu ni wateja wa waganga wa kienyeji kusafisha nyota na kununua mgagani utaleta?
Kwahiyo ulitaka mwanamke akifikisha umri mkubwa bila kuolewa awe zoa zoa? Atoke na mtu hata kama haeleweki kisa?
We ni nani kuwapangia watu maisha wakati huwalipii bills?
Sasa kama we sio HB pole sanaaaa mana ndo hali halisi na utaendelea kupigwa chini tu maana hamna nyingine.
acha maHB wajifaidie we endeleza malalamiko kwa kuanzisha thread JF
Mi nnavyoona we ndo desperate ndomaana umekuja kulalamika hapa ili labda uhurumiwe.
Pole sana.Nimerusha jiwe gizani mwakwetu! kama.limekupata niwie radhi,kwa jinsi ulivyoshusha jazba sio bure! pia siamini kama ume comment kama coincidence
with me i make comment on issue which contain some facts, this topic has fulfilled that. Judge it basing on other peoples observation not just your own feelingsPole sana.
1. Mi siko single na wengi tu humu wananijua na wanajua hilo. Na wala umri wangu haujafikia huko ulikozungumzia, na hata kama ungekuwa umefika pia ningefanya nnachotaka sio nnachotaka wewe.
2. Sina cha kukuwia radhi mana inaonekana unyanyasaji ni tabia yako.
3. Unakachoamini hakinihusu hivyo sina haja ya kukifahamu.
Mwisho kabisa waache watu waishi wapendavyo na sio upendavyo wewe
You came with your opinion and call it facts? Smhwith me i make comment on issue which contain some facts, this topic has fulfilled that. Judge it basing on other peoples observation not just your own feelings
Huyo mkalamba hajui asichojua muonee huruma tu.You came with your opinion and call it facts? Smh
Hata mi naona kuwa Hana analojua na mbaya zaidi anadhani watu wote ni kama yeye, na kama vile hiyo haitoshi hajui kuwa hajui.Huyo mkalamba hajui asichojua muonee huruma tu.
Anafikiri kwa sababu kila mtu analala chini ya mapango kijijini kwao basi watu wote wanalala mapangoni.
Kwahiyo ukipata watu 50 kusapoti ujinga wako ndo unakuwa mwerevu?sure,judge it from the number of people who have supported it.