Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,670
Wenye shule zao hawaongeagi pumba kama zako mkuu Bobo LUSE wanareason na tena wakiambiwa wanakubalia sababu sio wewe ambaye naona unaanza kupanick na kuleta lugha za kashfa na kunitusi juu,pole that wont take me back kwenye ukweli lazima niseme na pole pia kama maneno yangu yanakuumiza kwa sababu nakuambia ukweliInaonyesha hata shule yako ndogo,kwani.hata ku summarize point unashindwa unajaza thread tu! hata sisomi hayo magazeti yako! so dont waste your time&resources
tena kwa akili kama yako hayo maneno mawili tu hayakutoshi maanake una kichwa kigumu hata ukitwange hakilainiki.
na kwa tabiaa hii nayozidi kuijua kupiia maandishi yako ni wazi ni kwa nini huna bahati na wanawake no woman will ever be interested with a man like you hata ukipata jua anakulia hela zako na wala hana feture na wewe,pole kwa ukweli mchungu