real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,302
you seem to be very bitter to women, why?wanatusumbua sana huku mtaani dada yangu! utasikia nataka sherehe ya Harusi yangu nataka iwe ya mfano! mfano upi wakati umetumika mpaka umechoka!
usituambie nothing's personal wakati inaonekana una ishu na hawa watu
kwa hiyo mtu akiweka hata vigezo gani, au akiwa hata na ndoto za kuwa na ndoa ambayo haiwezekani how is this your business?? when you say nothing is personal it means it's your business
but in this case it's not