Dereva yebo anasana na mke wa mtu Songea

Dereva yebo anasana na mke wa mtu Songea

ligera

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2014
Posts
2,646
Reaction score
1,172
Katika hali isiyokuwa ya kawaida dreva yebo anayeishi kitongoji cha mjimwema amenasana na mke wa mtu anayeishi maeneo ya matarawe.

Walikutwa wamenasana katika guest moja iliyopo eneo la bombambili na wasamaria wema waliamua kutoa taarifa polisi baada ya kusikia sauti ya watu wakilia toka chumba walichokuwepo. na polisi walipofika waliwabeba kama walivyo na kuwapeleka hospitari.

Jitihada za kuwamamanua wahanga zilishindikana kutokana na sehemu za siri za kila mhanga zilikuwa zikivimba kila muda , na polisi waliamua kumpigia simu mume wa mke aliyenaswa afike hospitari haraka kwani mke wake wamenasana na jamaa.

Jamaa alipowasili aliongea maneno machache tu " mke wangu nilikuambia wewe malaya ulikuwa unakataa , nilikuambiaje" mke alijibu ,mume wangu alinipa kisu halafu aliniambia nikatie nyama katikakati na halafu nimkabidhi kisu, nilipomkabidhi kile kisu akakiingiza kwenye ala na kusema habari yako imekwisha"

Mume alimwomba afande aende kwake afuate kisu hicho na aliporudi tena eneo la tukio akachomoa kisu kwenye ala wale wahanga wakanasuliwa.

cha ajabu sasa watu wengi walionekana kumsonga kijana ili awape dawa hiyo.

Hizo dawa za kunasana zimeenea sana mji wa songea zikitokea kwa mzee mmoja wa msumbiji aliyeingia hivi karibuni.

Lakini zinasaidia kwani watu hivi sasa wanaogopa kuchepuka na wake za watu au waume za watu.

Kazi kwelikweli.
 
huyu mzee yupo sehemu gani pale songea...huyu ndio mkombozi halisi wa dawa ya michepuko bravo sana huyo mzee
 
Mbona kama tangazo la biashara hili? Kilichokosekana ni mawasiliano tu,
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida dreva yebo anayeishi kitongoji cha mjimwema amenasana na mke wa mtu anayeishi maeneo ya matarawe.

Walikutwa wamenasana katika guest moja iliyopo eneo la bombambili na wasamaria wema waliamua kutoa taarifa polisi baada ya kusikia sauti ya watu wakilia toka chumba walichokuwepo. na polisi walipofika waliwabeba kama walivyo na kuwapeleka hospitari.

Jitihada za kuwamamanua wahanga zilishindikana kutokana na sehemu za siri za kila mhanga zilikuwa zikivimba kila muda , na polisi waliamua kumpigia simu mume wa mke aliyenaswa afike hospitari haraka kwani mke wake wamenasana na jamaa.

Jamaa alipowasili aliongea maneno machache tu " mke wangu nilikuambia wewe malaya ulikuwa unakataa , nilikuambiaje" mke alijibu ,mume wangu alinipa kisu halafu aliniambia nikatie nyama katikakati na halafu nimkabidhi kisu, nilipomkabidhi kile kisu akakiingiza kwenye ala na kusema habari yako imekwisha"

Mume alimwomba afande aende kwake afuate kisu hicho na aliporudi tena eneo la tukio akachomoa kisu kwenye ala wale wahanga wakanasuliwa.

cha ajabu sasa watu wengi walionekana kumsonga kijana ili awape dawa hiyo .

Hizo dawa za kunasana zimeenea sana mji wa songea zikitokea kwa mzee mmoja wa msumbiji aliyeingia hivi karibuni.

Lakini zinasaidia kwani watu hivi sasa wanaogopa kuchepuka na wake za watu au waume za watu.

Kazi kwelikweli !!.

Wote hao walikosa kutomjua Mungu and kutokuwa na maarifa. Eehee Baba tuokoe na kizazi hiki . Thanks!
 
Bwana tuseme nini juu ya haya...
 
Khaaaa! mbona wadau mnalilia naso sana? ivi ni kweli wake zenu wanaliwa?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nilikuwa nina appointment na mke wa mtu leo, baada ya kusoma habari hii natamka wazi kuahirisha zoezi
 
Back
Top Bottom