Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Nahisi kama huyo dereva sio mgeni kwangu....! Naona kama nilishawahi kumtumia dereva huyo kwa kipindi cha miaka miwili hivi....! Asili yake ni Kondoa na anaishi mjini Arusha, ni mfupi kiasi na ni mweupe kiasi fulani pia....! Hata hivyo yuko charming na anajua kazi yake kweli.....!Kuna gari naikodi, nimeipenda ikiwezekana niinunue moja kwa moja, kwasasa naitumia ninapo ihitaji. Dereva wa hili gari amekuwa na tabia ya kunawa kila tunapofika kituoni hatakama safari bado ndefu yeye kila kituo lazima ashuke na kwenda kunawa. Nimesha safari naye mara mbili ishu ni hiyo hiyo. Safari ya pili kusafiri naye nilikosa raha kidogo kwani kuna wakati napenda kuunganisha vituo yaani nikifika mwisho niunganishe yeye hataki kabisa,nikimuuliza kwanini anafanya hivyo ananiambia hapendi kuunganisha. Nilifikiria nibadilishe dereva lakini ukiondoa kasoro hiyo huyu dereva ni excellent Gents! mshakutana na dereva wa aina hii Ladies! tushee experiences.