Dereva wangu!

Kuna gari naikodi, nimeipenda ikiwezekana niinunue moja kwa moja, kwasasa naitumia ninapo ihitaji. Dereva wa hili gari amekuwa na tabia ya kunawa kila tunapofika kituoni hatakama safari bado ndefu yeye kila kituo lazima ashuke na kwenda kunawa. Nimesha safari naye mara mbili ishu ni hiyo hiyo. Safari ya pili kusafiri naye nilikosa raha kidogo kwani kuna wakati napenda kuunganisha vituo yaani nikifika mwisho niunganishe yeye hataki kabisa,nikimuuliza kwanini anafanya hivyo ananiambia hapendi kuunganisha. Nilifikiria nibadilishe dereva lakini ukiondoa kasoro hiyo huyu dereva ni excellent… Gents! mshakutana na dereva wa aina hii Ladies! tushee experiences.
Nahisi kama huyo dereva sio mgeni kwangu....! Naona kama nilishawahi kumtumia dereva huyo kwa kipindi cha miaka miwili hivi....! Asili yake ni Kondoa na anaishi mjini Arusha, ni mfupi kiasi na ni mweupe kiasi fulani pia....! Hata hivyo yuko charming na anajua kazi yake kweli.....!
 
Nahisi kama huyo dereva sio mgeni kwangu....! Naona kama nilishawahi kumtumia dereva huyo kwa kipindi cha miaka miwili hivi....! Asili yake ni Kondoa na anaishi mjini Arusha, ni mfupi kiasi na ni mweupe kiasi fulani pia....! Hata hivyo yuko charming na anajua kazi yake kweli.....!

Mhh we konakali ndo nini kumchambua dereva wa watu hapa!!akaa
 
Mwambie mwende Loliondo kwa babu umsikie atakavyochomoa na hata kama unampa Milioni sidhani kama atakubali, atajua yatamtokea kama ya yule mzee wa general Tyre kama ameyasikia!!!!
 
Nahisi kama huyo dereva sio mgeni kwangu....! Naona kama nilishawahi kumtumia dereva huyo kwa kipindi cha miaka miwili hivi....! Asili yake ni Kondoa na anaishi mjini Arusha, ni mfupi kiasi na ni mweupe kiasi fulani pia....! Hata hivyo yuko charming na anajua kazi yake kweli.....!

Mkuu, Kondoa umepata ila habari ya Arusha siijui.. almost ni kama unamfahamu vile.. Bonge la driver nataka nimchukue jumla jumla
 
Kwani huwa anaenda kunawa nini? Kama mikono huyo ni mfuasi mzuri wa lile tangazo la mikono yenye afya radioni. Kama ananawa kingine.....mi chijui bana.......!
 
Mhh we konakali ndo nini kumchambua dereva wa watu hapa!!akaa
Ni kwa msaada tu kama atahitaji ushauri zaidi.....! Si kwa mabaya, bali ni kwa mema zaidi....!

Mwambie mwende Loliondo kwa babu umsikie atakavyochomoa na hata kama unampa Milioni sidhani kama atakubali, atajua yatamtokea kama ya yule mzee wa general Tyre kama ameyasikia!!!!
Hapo kwenye red, ni yapi mkuu....? Tudadavulie nasi tuwe makini na hayo....!

Mkuu, Kondoa umepata ila habari ya Arusha siijui.. almost ni kama unamfahamu vile.. Bonge la driver nataka nimchukue jumla jumla
Mkuu inawezekana madereva kufanana pia.....! Kwa hiyo sio lazima niapatie kote...! Aidha, waweza kumchukua mazima, and all the best mkuu....!

Sweetdada, Konakali Ananitisha!
Wala usitishike mkuu, maana uwanja ni wako na uwe huru kabisa.....!
 
Kaka anajua kuendesha! We hujawahi kutana na dereva wa hivi?
Sasa si ndo Fresh, we ulitaka Dereva amabaye hanawi kila Baada ya Kituo!!!???atakuwa Mchafu huyo na Kama ni mie nashuka fastaaa, si unajua Madereva wanakuwaga na Oil flan hv na hulowaga sana baada ya Kila kituo...Nipe mie huyo Dereva wako
 
Kuna gari naikodi, nimeipenda ikiwezekana niinunue moja kwa moja, kwasasa naitumia ninapo ihitaji. Dereva wa hili gari amekuwa na tabia ya kunawa kila tunapofika kituoni hatakama safari bado ndefu yeye kila kituo lazima ashuke na kwenda kunawa. Nimesha safari naye mara mbili ishu ni hiyo hiyo. Safari ya pili kusafiri naye nilikosa raha kidogo kwani kuna wakati napenda kuunganisha vituo yaani nikifika mwisho niunganishe yeye hataki kabisa,nikimuuliza kwanini anafanya hivyo ananiambia hapendi kuunganisha. Nilifikiria nibadilishe dereva lakini ukiondoa kasoro hiyo huyu dereva ni excellent… Gents! mshakutana na dereva wa aina hii Ladies! tushee experiences.

Elia we cha msingi akishuka kunaw kituo kimoja hama kiti kaa pale kwake halafu unganisha vituo hadi safari ifike mwisho.
 
Shida yako ni kununua gari au kubadilisha dereva? Kama gari siyo lako ni la kukodi tu mambo ya dereva yanakuhusu nini tena si ukodi gari jingine? Kwani ukinunua gari lazima umchukue na dereva wa hiyo gari?

Kuhusu vituo labda utuelimishe zaidi kuhusu umbali wa kutoka kituo kimoja mpaka kingine.Inawezekana anahitaji kwenda toilet kupunguza haja zake na hivyo lazima anawe. Sasa kuficha siri ya kuwa anaenda KUNYA anakuambia kuwa anaenda kunawa. Ulitakiwa uelewe kuwa kunawa kunatumika kama kiwakilishi tu. Au yawezekana ana tatizo la kiafya ambalo ni siri yake binafsi hivyo siyo haki kuanza kumuuliza akueleze.

The best way ni kumuuliza.

Attn:Elia,
wengine humu ndani ni under 17
 
Huyo dereva inabidi arudi darasani akaupdate ujuzi wake.
Huko kushuka kila kituo sijui anaogopa traffic police.
 
Mwambie mwende Loliondo kwa babu umsikie atakavyochomoa na hata kama unampa Milioni sidhani kama atakubali, atajua yatamtokea kama ya yule mzee wa general Tyre kama ameyasikia!!!!

Search Thread "Kama Mchawi usiende Loliondo"
 
HONGERA SAAAAANA KSB UMEPATA DRIVER MSAFI SAAAANA ,,NI NADRA KUPATA DRIVER MSAFI KAMA HUYO ,,ENDELEA NAYE MKUU TENA USIMWACHIE, MPENDE,MLINDE,MTHAMINI ZAIDI..........da i wish i could have-------.........manake ma driver wengine uchafu nje nje usipokuwa makin fungus inaweza ikawa sehemu ya pumzi.,,,ha ha ha ha h........narudia tena HONGERA SANA KWA KUPATA DRIVER MSAFI ANAJITAMBUA NA ANAJITHAMINI,,,,,,HAKUNA MSAFI MBAYA.....
 
Shida yako ni kununua gari au kubadilisha dereva? Kama gari siyo lako ni la kukodi tu mambo ya dereva yanakuhusu nini tena si ukodi gari jingine? Kwani ukinunua gari lazima umchukue na dereva wa hiyo gari?

Kuhusu vituo labda utuelimishe zaidi kuhusu umbali wa kutoka kituo kimoja mpaka kingine.Inawezekana anahitaji kwenda toilet kupunguza haja zake na hivyo lazima anawe. Sasa kuficha siri ya kuwa anaenda KUNYA anakuambia kuwa anaenda kunawa. Ulitakiwa uelewe kuwa kunawa kunatumika kama kiwakilishi tu. Au yawezekana ana tatizo la kiafya ambalo ni siri yake binafsi hivyo siyo haki kuanza kumuuliza akueleze.

The best way ni kumuuliza.

Hata kwenye ziara za rais huwa tunaweka kwenye ratiba tukio la kunawa mikono ili kupunguza makali. Inawezekana akatumia fursa hiyo kukojoa au kunya.
 
Jaribu kuonana nae kwenye chumba ambacho sio self, alafu mnunulie kitambaa dizaini ya taulo kwa akiba ili akikosa maji ya kunawa au kuona uvivu kutoka toka nje kwenda kunawa atumie hilo taulo istead
 
Kwan dereva mwenyewe ni wa corola,benzi,staleti au fuso? .....
 
Back
Top Bottom