ana majini huyo
ilamkuu ujasema annawa nini kichwa miguu ua
ana majini huyo
Tutajie aina ya simu na utwambie laptop brand name yake!!......lolzCharger yuko wapi bana mi miss yeye,
Mie hapa will be back kwenye laptop simu sifaidi
Kuna gari naikodi, nimeipenda ikiwezekana niinunue moja kwa moja, kwasasa naitumia ninapo ihitaji. Dereva wa hili gari amekuwa na tabia ya kunawa kila tunapofika kituoni hata kama safari bado ndefu yeye kila kituo lazima ashuke na kwenda kunawa. Nimesha safiri naye mara mbili ishu ni hiyo hiyo.
Safari ya pili kusafiri naye nilikosa raha kidogo kwani kuna wakati napenda kuunganisha vituo yaani nikifika mwisho niunganishe yeye hataki kabisa, nikimuuliza kwanini anafanya hivyo ananiambia hapendi kuunganisha. Nilifikiria nibadilishe dereva lakini ukiondoa kasoro hiyo huyu dereva ni excellent
Gents! mshakutana na dereva wa aina hii Ladies! tushee experiences.
Huyo ndo mzuri anatoa uchovu na usingizi badilisha dereva uone kama hajagongesha upande wako na kukuletea maafa
Safari zinamisukosuko mingi bwana,saa zingine unalazimika kushuka chini kukanyaga vitu vingi huko chini,sometimes oil ina leak,vumbi na kama hakuna AC jasho kwa hiyo usafi wa dereva ni muhimu asije akamkera abiria wake siku nyingine gari lake likakimbiwa.
Wewe nae kwanisemea hujambo umenimalizia maneno yangu sasa
Hawa madereva huwa wanaendeshea hirizi sasa ukibadili dereva tu utakiona cha moto
Ha ha ha umenikumbusha mbali kweli hao madereva wa hirizi wapo kweli siku hizi we Fidel wewe haya bana
Kuna dereva mmoja wa bus anaendesha ameweka kitenge mapajani na anamiaka kibao style yako ndo hiyo hiyo hata kuku hajawahi gonga
Tutajie aina ya simu na utwambie laptop brand name yake!!......lolz
U made my day kitenge tena chanini au oil inavuja sasa yeye anaogopa kuigusa?
Attn:Elia,
wengine humu ndani ni under 17
Kaaazi kweli kweli!!!Lock milango ili asiweze kushuka!!!
Hawa madereva i see we acha tu waangalia fikiria dereva anakomaa toka Nairobi mpaka Dar kesho tena anageuza Dar mpaka Nairobi hiyo ni kila siku lazima atumie kizizi na anasuuzia na mirungi.