SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 616
- 949
Polen na Dar yenu wazee
hamna wanajeshi pale... labda vijana wachache walio maliza mkataba jkt...!Si nasikia madereva wa mwendokasi ni wanaGESHI?
Hii imekaaje kuruta wangu mtafuna vinyeo Prince Mhando
Tatizo muda, TiMe, ukisubiria mabus yasiyojaa hapo utakesha stand boss, labda usubiri usiku uende sanaaa.. na siyo guaranteed 😂😂Sasa Abiria mlivokua mnapanda tu hamkuona kama chuma imejaa.
Huyo kashindwa na huenda angewapeleka KibahaJapo dereva kazingua ila lawama za abiria pia zinakuaga sio poa, inahitaji mtu strong sana kuweza kuzihimili
Wakija humu maneno kibao, katoto ka miaka 17 tu kaliwatoa kamasi 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️Nyinyi si mlisamishwa mji mzima na Dangote?
Hata sikushangai wajinga mpo duniani.Dereva katoka Gerezani akiwa na hasira gari limejaa milango hadi inataka kupasuka, Akasimama Faya watu wakawa wanamwambia kwa jinsi Gari ilivyojaa sana unatuumiza funga fungua fuata utaratibu sababu gari ni express kama ilivyoandikwa simama manzese kama ilivyo taratibu
Dereva akasimama na Magomeni kwa hasira, hapo gari imejaa vibaya sana na ni express, watu wakaanza kelele tena unatuumiza huku mlangoni na hakuna wakushuka na wala wakupakia, wakwamwabia wapo wakushuka manzese
Dereva akasimama anaanza kuzozana na abiria Kwa hasira
Dereva akawasha Gari kutoka Magomeni hakusimama hata kituo kimoja kwa hasira akaenda kuwashusha Abiria wote Kimara Mwisho hapo Kuna walemavu kibao, akashuka akapotea kusikojulikana, likatokea bonge la fujo pale, watu warudishwe walipotokea fujo kubwa sana, ikabidi Gari achukue Dereva mwingine awarudishe watu waliopitilizwa vituo
Huu mradi unauliwa na wafanyKazi wenyewe ni shida
Ulivyojibu hadi nimeloa 😍😍😍hamna wanajeshi pale... labda vijana wachache walio maliza mkataba jkt...!
Arusha unayoizungumzia hapa ndio Ile Raia wake walikuwa wanalala saa 12 jioni wakimuogopa kijana mdogo Ali 'Dangote'Upo mkoa gani mkuu😁😁
Wanaopigwa Arusha ni wa mikoani wanapigwa na mwanamke wa Arusha
Njemba iliyokamilika Arusha ili muitulize watu wa dar kama 3467 hivi
Madereva Ni Wanajeshi Pale Mzee BabaHayo mabasi kuna baadhi ya madereva ni wapuuzi sana wana ule udalala bado.
Mwanajeshi Akapumzike Vipi Mwenzio Anaenda Kupangiwa Majukumu MengineHapendi kazi yake, na asirudi tena, aka pumzike nyumbani. Hasira hasara.
Da!! Too local ..safari bado ndefu mnoDereva katoka Gerezani akiwa na hasira gari limejaa milango hadi inataka kupasuka, Akasimama Faya watu wakawa wanamwambia kwa jinsi Gari ilivyojaa sana unatuumiza funga fungua fuata utaratibu sababu gari ni express kama ilivyoandikwa simama manzese kama ilivyo taratibu
Dereva akasimama na Magomeni kwa hasira, hapo gari imejaa vibaya sana na ni express, watu wakaanza kelele tena unatuumiza huku mlangoni na hakuna wakushuka na wala wakupakia, wakwamwabia wapo wakushuka manzese
Dereva akasimama anaanza kuzozana na abiria Kwa hasira
Dereva akawasha Gari kutoka Magomeni hakusimama hata kituo kimoja kwa hasira akaenda kuwashusha Abiria wote Kimara Mwisho hapo Kuna walemavu kibao, akashuka akapotea kusikojulikana, likatokea bonge la fujo pale, watu warudishwe walipotokea fujo kubwa sana, ikabidi Gari achukue Dereva mwingine awarudishe watu waliopitilizwa vituo
Huu mradi unauliwa na wafanyKazi wenyewe ni shida
Arusha inaongoza orodha ya majiji yote sita ya tanzania hii (yote nimefika na nimeishi kwa vipindi vifupi na virefu) kwa abiria kunyanyaswa na operators wa hivi vipanya tunavyoviita haice, zamani abiria wa tengeru /usa kidogo ndiyo waliokuwa na msuli wa kuwavimbia,ila sasa hivi hakuna kitu.
Hizi jeuri dar huko huko
Arusha kwanza wanakuruhusuje utoke nje ya kituo na umewapitilizisha kituo
Naweka rekodi sawa, Bangi haihusikiWanaajiri wavuta BHANGI?, THAT WAS A CASE!
KIDUMU CHAMA cha mapunduziDereva katoka Gerezani akiwa na hasira gari limejaa milango hadi inataka kupasuka, Akasimama Faya watu wakawa wanamwambia kwa jinsi Gari ilivyojaa sana unatuumiza funga fungua fuata utaratibu sababu gari ni express kama ilivyoandikwa simama manzese kama ilivyo taratibu
Dereva akasimama na Magomeni kwa hasira, hapo gari imejaa vibaya sana na ni express, watu wakaanza kelele tena unatuumiza huku mlangoni na hakuna wakushuka na wala wakupakia, wakwamwabia wapo wakushuka manzese
Dereva akasimama anaanza kuzozana na abiria Kwa hasira
Dereva akawasha Gari kutoka Magomeni hakusimama hata kituo kimoja kwa hasira akaenda kuwashusha Abiria wote Kimara Mwisho hapo Kuna walemavu kibao, akashuka akapotea kusikojulikana, likatokea bonge la fujo pale, watu warudishwe walipotokea fujo kubwa sana, ikabidi Gari achukue Dereva mwingine awarudishe watu waliopitilizwa vituo
Huu mradi unauliwa na wafanyKazi wenyewe ni shida
Ni tusi gani kali hilo ulitoa!?Sitasahau siku moja asubuhi kabisa nawahi kwenda kariakoo pale usalama Nampa Hela mkata ticket ananiamba Hana chenchi nikatafute mim nimleteee ikiwa kamili ,muda huo Ni asubuhi hata maduka ya kununua vocha ili nipate Hela ya kumpa Hakuna .....aiseeee siku ile nilitoa tusi ambalo sikuwahi mtukana MTU yeyote toka nazaliwa .....Kwa hasira nikapanda pikipiki Kwa hasira ,nikala hasara maana nilitoa 6000 kwenye pikipiki