Mpiga Paspoti
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 225
- 1,029
Kwamba watu walikuwa wengi hivyo akisimama wanaongezeka na wao wamepanda express yenye vituo vichache vya kushusha na kupanda na sio vituo vyote
Kwani hujawahi kuona mtu anapanda Gerezani anashukia Faya ili aende Kivukoni??
Dereva alikuwa anasimama kama wajibu wake wa kazi unavyomtaka kusimama vituo anavyotakiwa!
Hata kama ni mie, ningepitiliza hadi Kibaha pambaf...!!