Dereva tax bubu

Dereva tax bubu

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,628
Heshima zenu wakuu
ninaomba mnisaidie kwenye hii issue

kuna gari dogo grand mark ii inatakiwa kufanywa tax maana muda mwingi inakuwa imepark sio kwamba mwenyewe kafulia ila siku za kazini ofisini kwao wanamfata na kumrudisha na hana mishe nyingi mjini
je unafata utaratibu gani?
Usiposajili kama tax faida na hasara ni zipi?
Na je utapataje dereva/utaratibu wa kufata kumpa huyo dereva gari ni upi?
Asanteni ma great thinker
 
Shosti, kaa ukijua biashara ya taxi wewe walipwa 15,000?= hata kama dereva katengeneza laki 3.
Mii naona yaumiza moyo, kwani service na matengenezo wayafanya wewe,[
na madereva wengi hawana uchungu na chombo na si watunzaji.Q
KITUNZE KIDUMU wahenga walisema.
Heshima zenu wakuu
ninaomba mnisaidie kwenye hii issue

kuna gari dogo grand mark ii inatakiwa kufanywa tax maana muda mwingi inakuwa imepark sio kwamba mwenyewe kafulia ila siku za kazini ofisini kwao wanamfata na kumrudisha na hana mishe nyingi mjini
je unafata utaratibu gani?
Usiposajili kama tax faida na hasara ni zipi?
Na je utapataje dereva/utaratibu wa kufata kumpa huyo dereva gari ni upi?
Asanteni ma great thinker
 
Shosti, kaa ukijua biashara ya taxi wewe walipwa 15,000?= hata kama dereva katengeneza laki 3.
Mii naona yaumiza moyo, kwani service na matengenezo wayafanya wewe,[
na madereva wengi hawana uchungu na chombo na si watunzaji.Q
KITUNZE KIDUMU wahenga walisema.
elf kumi na tano kwa saa au kwa siku? hiyo ni faida au na mafuta utoe?
 
Heshima zenu wakuu
ninaomba mnisaidie kwenye hii issue

kuna gari dogo grand mark ii inatakiwa kufanywa tax maana muda mwingi inakuwa imepark sio kwamba mwenyewe kafulia ila siku za kazini ofisini kwao wanamfata na kumrudisha na hana mishe nyingi mjini
je unafata utaratibu gani?
Usiposajili kama tax faida na hasara ni zipi?
Na je utapataje dereva/utaratibu wa kufata kumpa huyo dereva gari ni upi?
Asanteni ma great thinker

kHAAAA! Haya bhana
Back to the topic Biashara ya tax siku hizi ni pasua kichwa. Bajaji, bodaboda zimejaa kibao. Foleni kwa hapa Dar ndo pia inaongeza gharama za kucharge kichwa from a place to another.

Kuna ishu ingine waweza fanya. Tafuta watoto kadhaa wa shule moja na ingia dili na wazazi wao kua kila siku utawapeleka na kuwarudisha kutoka shule. Then wazazi wanachangia. Yule dere unakua unamlipa wewe say kwa siku elfu 7 (ni mfano tu).

Hii kidogo uhakika unakuwepo wa kila mwezi unapokea. Ni mawazo tu ila sina experience na hilo
 
Nakushauri uiuze na uweke hela fixed deposit bank......office waki kunyang'anya usafiri katoe hela yako nunua gari showroom...easy
 
Biashara ya usafirishaji ni pasua kichwa, bora iwe ya masafa marefu.

hiz ruti za mijin longolongo nyingi sana.

tangaza dau km alivyosema mdau hapo juu
 
Back
Top Bottom