Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,836
Hebu tupe wewe ukweliMiaka 6 afu wanaume wawili tena kwa zamu??? Huo ni uongo manina zao wanaotaka kuichafu Bright school
Hebu tupe wewe ukweliMiaka 6 afu wanaume wawili tena kwa zamu??? Huo ni uongo manina zao wanaotaka kuichafu Bright school
Yaani MasjidMwalimu mkuu alikuwa anaenda " kuswali"
Hakuna mnyama anakula vitoto.
Ninyi kinamama ndo mnasababisha yote haya.huo muda wa kumkagua akiwa amelala au kumuogesha anautoa wapi ikiwa nae anatoka na mumewe alfajiri ya 5:00AM kuwahi vibarua na kurudi usiku amechoka nusu kufa kazi zote akifanya dada wa kazi???Inakuwaje mzazi humkagui mtoto huko chini akiwa amelala au unamuogesha???unatakiwa umchunguze mtoto mwili wake
Hayajakukuta. Kwa sasa tuwe na uchache wa maneno. Kumuona mwenzio ni mzembe ni rahisi sana.Huyo ana matatizo ya akili, ni mgonjwa wa akili ndio anaweza kumtamani mtoto eti kisa ana maumbile makubwa.
Niliona ujumbe wake nikampuuzia.
Mimi nilikuwa natilia shaka umakini wa wazazi wa kileo, mtoto anaingiliwa hadi anaharibika na wao kama wazazi wala hawashtukii.
Huu ukatili kwa watoto umetamalaki sana nchini sasa hivi. Na ukipitia habari zote hata wewe utajikuta umehoji ni wapi nafasi ya mama kwa mtoto? Wengi watoto wanalawitiwa au kubakwa mpaka wanaanza kutoa harufu ndio mzazi anakuja kujua, ni uzembe.
Bado haikasaidii hako katoto furaha ya mtoto ndo imeshaondoka.Hao washenzi wawili maisha yao yamekwisha kabisa!
Mahakama za Tanzania [emoji1241] ni wakali sana tena sana kwenye ubakaji wa watoto!
Mipumbavu sana walahi
Kuna wazazi wanajidai wako busy kiasi kila kitu dada ndo anafanya..... Unakuta wanarudi usiku mtoto kesha kula na kulala... Hata hiyo asubuhi hana muda hata wa kumuuliza mtoto chochote.Hata mimi nashangaa!
Eti bhana, sasa itakuwaje?Kuna wazazi wanajidai wako busy kiasi kila kitu dada ndo anafanya..... Unakuta wanarudi usiku mtoto kesha kula na kulala... Hata hiyo asubuhi hana muda hata wa kumuuliza mtoto chochote.
Inaleta ukakasi hii.Mtoto abakwe na wanaume wawili
Atembee tu vizurii kabisa bika shida na wasigundue
Ni kweliWazazi bwana...mnapanuliana huko kwenye starehe zenu halafu mnazalishana bila uelewa....matokeo yake mnamuona mtoto kama kaja kuwaharibia maisha.... mnakuwa wakoloni, hata hao wana nafuu, ni kumfokea mtoto na kumpiga kila unapopata nafasi... mwishowe mtoto wako mwenyewe anakuja kukuogopa hata wakati anapotakiwa kutafuta msaada kwako. Yani ujinga tupu
Muwe na hekima kwenye kujadili masuala yanayohusu familia, hasa kunyanyasika kwa watoto. Mkuu Mtoto anauma sana, kama kweli wewe ni Mzazi...Wanatimiza sunna ya mtume Muhamad maana alilala na mtoto wa miaka sita