Dereva bodaboda mtatuua

Dereva bodaboda mtatuua

Sasa wewe wakati unamtuma huyo bodaboda wala hukua unampa maelekezo kua unataka akuletee nyama ya nini?
Labda kwa vile yeye hula Mbwa akajua na wewe ndio wale wale tu,hata wewe kuna uzembe umefanya wa kutomwambia unataka nyama ya nini?
 
Binamu yangu alikwenda masomoni Sweden, kufika kule alipokelewa na familia ya ki-Tanzania, walikaa nae weekend nzima. J3 imefika watoto wote walikwenda shule na wenyeji kazini, binadmu alikuwa na njaa, hakutaka kuingilia jiko la watu kwani weekend nzima mother house ndiye aliyekuwa anakorofisha. Aliamua kwenda dukani na pesa alizokuwa nazo kununua chakula. Kufika kule aliona kopo la nyama, lakini kwakua lugha haielewi alikwenda kwenye till aliambiwa kiasi cha pesa cha kulipa alilipa na kwenda nyumbani. Alifungua kopo lile na kula na mkate. Wenyeji waliporudi walikuta kopo la chakula cha mbwa kwenye bin, walimuuliza hiki chakula cha mbwa ni vipi aliwaambia alijiwahi njaa ilivyomtinga sana. Wenyeji walidhoofika kuwa kwanini hawakumuonyesha mazingira ya nyumba vizuri.
😀😀😀😀😀.

Sky Eclat
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom