CIA mgumu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2022
- 961
- 1,961
Habari za mda huu ndugu zangu, mchana huu nipo njiani kwenda Njombe kuangalia parachichi zangu, sasa nimepanda bus kutoka chuo cha police moshi na kuna vijana ndio wanaenda kuanza kazi.
Ajabu ni kwamba vijana hawa wameanza majigambo hata kabla hawajafika kituo cha kazi , tumepita pale geti la mtera afisa uhamiaji akaingia ndani kutukagua sie ngumbaru akasalimia vizuri kawatania kidogo madogo wakati anatoka nje ya basi ndio madogo wanaishia kurusha madongo na dharau.
Je, Hii ni heshima na nidhamu waliofundishwa huko?
Ajabu ni kwamba vijana hawa wameanza majigambo hata kabla hawajafika kituo cha kazi , tumepita pale geti la mtera afisa uhamiaji akaingia ndani kutukagua sie ngumbaru akasalimia vizuri kawatania kidogo madogo wakati anatoka nje ya basi ndio madogo wanaishia kurusha madongo na dharau.
Je, Hii ni heshima na nidhamu waliofundishwa huko?
