Huyu jamaa alikuwa chief editor wa pale new habari corporation baada ya kuondoka zamani tanzania daima, wengi wanamfahamu kwa uandishi wake uliojaa utata mkubwa kimaudhui, nauliza siku hizi yupo wapi sababu naona new habari corporation kuna chief editor mpya, au ndo yale maneno ya utamu wa jojo( buble gum) ukiisha inatemwa:A S 465::A S 465: