Deo Munishi na John Mallya wa CHADEMA

Deo Munishi na John Mallya wa CHADEMA

Km ni sacco si ukakope ..kwani usubiri bk 7 na kujidhalilisha hivi..?
sio mwanachama. kwahiyo siwezi kukopeshwa. after all kuna wateule mle kama slaa anaweza kujikopesha bila ukomo na mbowe anaweza kuikopesha hiyo saccos na kuidai na riba anayotaka yeye.
 
jamaani naangalia ukurasa-EATV nimeona viongozi wa bavicha Dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? nimeshangaa jiji la Dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?

unafiki some time sio dili muhimu ujipange ndo uje uandike hapa
 
Hivi chalinze hakuna akina Willy wanaoweza kugombea mpaka awe Abdala ndio ugombee kupitia ccm.
 
sio mwanachama. kwahiyo siwezi kukopeshwa. after all kuna wateule mle kama slaa anaweza kujikopesha bila ukomo na mbowe anaweza kuikopesha hiyo saccos na kuidai na riba anayotaka yeye.
kwani mamake zito ni mke wa nani CDM?
 
Mtoa maada ana upungufu wa kufikiria NAMUULIZA je wewe uliwahi kuogombea nafasi chadema ukakosa? napenda anitajie makabila ya akina mdee/lisu/mnyika/zitto/slaa/ na wengine wengi kwenye chama.AU YY ANAFIKIRIA KUWA UCHAGGA NN?
 
Hahaha BAVICHA na familia ya Zitto mpaka kieleweke.
Kenge wewe hukumbuki ulichokuwa unasema wala nini namaanisha hapa..nilikuwa napima km mna muendelezo wa muyaongeayo na kuamini.....km wengine wanapewa kwa uchumba,udungu ,....uhawara.Ndio nakuuliza mamake Zitto alikuwa mke au hawara wa nani,kwani naye alikuwa akipata mengi ktk CDM km wengine na pengine zaidi?Zitto naye alikuwa ndugu wa nani au mchaga hadi kupata unaibu katibu mkuu wa chama...ten akutoka ktk kabila dogo kabisa kigoma....?
 
kwani mamake zito ni mke wa nani CDM?
yule amewekwa kuzuga tu. kuna tofauti gani na yule darasa la 7 toka kule mpanda kuwa makamu mwenyekiti au yule mzenji muuza genge la nyanya kuwa mkamu m'kiti visiwani kwa chadema-saccos? kuna tofauti gani hata kwa yule mzenji mwengine wa viti vya chumbani aitwaye raaya?
msifikiri sote ni wapuuzi kama nyie. we see things in three dimensions.
 
unafiki some time sio dili muhimu ujipange ndo uje uandike hapa
kuna cha unafiki hapo au reality? au hujui maana ya unafiki? au kuna maana ya unafiki ingine tofauti na hii tunayoijua sote?
 
yule amewekwa kuzuga tu. kuna tofauti gani na yule darasa la 7 toka kule mpanda kuwa makamu mwenyekiti au yule mzenji muuza genge la nyanya kuwa mkamu m'kiti visiwani kwa chadema-saccos? kuna tofauti gani hata kwa yule mzenji mwengine wa viti vya chumbani aitwaye raaya? msifikiri sote ni wapuuzi kama nyie. we see things in three dimensions.
Ahah..ndivyo mnavyodanganyana huko uswazi..na Zitto mwenywe aligombea na kuchaguliwa kuzuga tuu nafasi ya Naibu katu mkuu wa chama?
 
Ahah..ndivyo mnavyodanganyana huko uswazi..na Zitto mwenywe aligombea na kuchaguliwa kuzuga tuu nafasi ya Naibu katu mkuu wa chama?
zitto alikuwa haepukiki kwani yeye na slaa ndo walioifikisha chadema hapo ilipoishia mwaka jana. sio hao akina lema waliokuta chadema tayari inafahamika wakitokea tlp/nccr. suala hapa ni ukweli mbele kama tai. we see.
note;nazungumzia chadema chama ambacho kiliishia mwaka jana 2013 na sio hii chadema-saccos.
 
zitto alikuwa haepukiki kwani yeye na slaa ndo walioifikisha chadema hapo ilipoishia mwaka jana. sio hao akina lema waliokuta chadema tayari inafahamika wakitokea tlp/nccr. suala hapa ni ukweli mbele kama tai. we see.
note;nazungumzia chadema chama ambacho kiliishia mwaka jana 2013 na sio hii chadema-saccos.

unafanya propaganda zanjaa,umeishia wapi na Act Yako?Dr Slaa Kiboko Yenu,nani Alikuwa Anamjua Zzk Bila Ya Mbowe Na Slaa?Zzk Mwenyewe Anakubali,njaa Yako Itakufikisha Pabaya.
 
Kinachotafutwa kwa MCHAGA haswa ni nini??
Hatakiwi ktk hii nchi, ktk uongozi au ni nini??
Tunakoenda itafika mahali mtasema wachaga wametuzidi sana sasa Wauwawe.
Mchaga hatakiwi kuwa kiongozi ktk hii nchi, kamfufueni Nyerere

Kisichotakiwa ni kuanzisha chama katika vikao vya mbege wakati wa krismas!
 
Wanajiaandaa kuunda jamhuri ya kaskazini mbunge nassari alishasema.
 
jamaani naangalia ukurasa-EATV nimeona viongozi wa bavicha Dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? nimeshangaa jiji la Dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?

Baada ya Ally Makwilo kuundiwa Zengwe jingi Ubungo na hatimaye kukimbilia CUF, nafasi yake imechukuliwa na Mzee Nkiya, na katibu wa Bavicha akawa Samky,,,wote wa kaskazini.
 
Back
Top Bottom