hapo kwenye red umenichekesha mpaka basi da! sijawahi kuifikiria hii kitu. kwenye wizi hata kama hamtuibii majumbani hata kwenye serikali nyie ndo wezi wakubwa. kila penye wizi humkosekani. ndo maana hata Kikwete alipanza kuwapeleka akina mramba, mgonja na yona kwa kutuibia bil 12.2 tshs, kupitia alex and stewart mliungana kumpiga vita. huo ni uthibitisho tosha kuwa wezi lao ni moja. tuliona hata ile kesi ya BOT kweka alikuwa nyuma ya liyumba lakini mkafanya namna na akaachiwa na mahakama. jiangalie tena utakwenda kuchomwa moto.