Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,009
- Thread starter
- #81
Bosi hata Shibuda kisa Chadema!! No way akatafute jimbo la ujira wa mwiha na siyo jimboni kwangu mimi na nafamilia yangu tutampa kura mgombea Ccm kana anatosha.Hata mimi hili suala la kutaja majina huwa linanitatiza sana.Mimi nafikiri waziri akisema hiyo list iingie kwenye hansard kama ilivyo itaingia tu, si lazima ataje majina ya watu wote waliochangia kwa kusema na kwa maandishi. Namuunga mkono.
My take: Mimi akija Deo Kugombea jimboni kwetu kwa tiketi ya CCM simpi kura ng'o! tumechoshwa na mfumo wa utawala wa CCM, umeshindwa ku-deliver.
Kwahiyo nyie wenye uelewa msiendelee kuchelewesha ukombozi kwa falsafa zenu zilizoshindwa. Mimi nachagua CHADEMA from now, mtu akija na kichama chake napiga chini tu siangalii.