Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Pamoja kabisa! Ni heri nimchague Invisible (CCM) kuliko yule FMESNajuwa sana madhara ya hiki chama cha Mabwepande lakini kuna wakati tuwe wakweli X Mchungaji ni heri kumchaguwa mgombea wa CCM Deo FUlikunjombe kuliko kumchaguwa mgombea wa Chadema Shibuda. Hizi ndizo aina ya siasa tunazopaswa kwenda nazo kwa sasa.