Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Pamoja na kwamba ukiwa mwana ccm lazima uvae gamba la kijani.
Filikunjombe alikuwa na mawazo huru kitu ambacho kilimkwamisha kukubalika ndani ya CCM.
Wana Njombe walipata pigo sana kuondikewa na huyo kijana.
Ebu msikikizeni hapa jinsi alivyo wakatalia mawaziri.
Filikunjombe alikuwa na mawazo huru kitu ambacho kilimkwamisha kukubalika ndani ya CCM.
Wana Njombe walipata pigo sana kuondikewa na huyo kijana.
Ebu msikikizeni hapa jinsi alivyo wakatalia mawaziri.