KATATANAMA
Member
- Feb 15, 2012
- 63
- 6
Salaam. Jana nilisikitishwa na taarifa iliyotolewa juu ya kuongezeka kwa deni la Taifa kwa asilimia thelathini na nane [38%] toka mwaka wa fedha 2009/2010 hadi 2011/2012. Je kwa kasi hii ya kukopa tumefanya nini cha maana? Naomba kuwasilisha.
Source: Taarifa ya habari ya Radio One.
Source: Taarifa ya habari ya Radio One.