Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,707
- 272,607
Taarifa kutoka bungeni Dodoma zinaonyesha kwamba deni la Taifa linazidi kusonga mbele kwa kasi kubwa , Waziri wa fedha Dr Mpango ameliambia bunge kwamba kwa sasa Tanzania inadaiwa Trilioni 51.03 kutoka Trilioni 49.86 za April 2018 , ambapo kiasi hicho kimetajwa kuongezeka kwa Trilioni 2.35
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba gharama ya madeni ya ndani pekee inafikia Trilioni 13.25 huku kimbembe cha madeni ya nje ( madeni ya mabeberu ) kikiwa ni Trilioni 37.78
Mungu ibariki Tanzania .
