Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,705
- 272,583
- Thread starter
- #21
kabisa !Tusiogope kukopa. Barick na mwanaye Accasia tunawadai tril 400+ wakitulipa tutawalipa hao wadeni wetu. Serikali ikope hadi ifike tri 400 ndiyo iache kukopa
kabisa !Tusiogope kukopa. Barick na mwanaye Accasia tunawadai tril 400+ wakitulipa tutawalipa hao wadeni wetu. Serikali ikope hadi ifike tri 400 ndiyo iache kukopa
Litabaki kuwa Juu Mawinguni,,View attachment 1116251
Taarifa kutoka bungeni Dodoma zinaonyesha kwamba deni la Taifa linazidi kusonga mbele kwa kasi kubwa , Waziri wa fedha Dr Mpango ameliambia bunge kwamba kwa sasa Tanzania inadaiwa Trilioni 51.03 kutoka Trilioni 49.86 za April 2018 , ambapo kiasi hicho kimetajwa kuongezeka kwa Trilioni 2.35
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba gharama ya madeni ya ndani pekee inafikia Trilioni 13.25 huku kimbembe cha madeni ya nje kikiwa ni Trilioni 37.78
Mungu ibariki Tanzania .
kuna mtu mzito sana ameninong'oneza hilo jambo !Inawekana hata mishahara wanalipa kwa fedha za mikopo!!
Kuna baadhi ya wabunge walinunuliwa hadi mil 800 na kulipiwa mkopo wa hadi mil 600 , jumlisha na madiwani kwa mamia .Kukopa sio shida ila shida ni unakopa ili ufanyie kitu gani. Hela yote hiyo tumekopa lkn bado mambo mengi mno ya msingi hayajafanyika..!!
Watoto wanaostahili kupewa mikopo elimu ya juu hawapewi, huduma za afya ni hovyo, maeneo karibu yote yanategemea maji ya mvua na umeme ni wa kupima.
Wakati huo huo, kuna miradi imeanzishwa ya kutafutia tu kicks na kimsingi ndio inapaisha deni huku fedha nyingi zikitumiwa kujaribu kuua upinzani kitu ambacho imeshathibitika kuwa ni "The Fool's Errand".
Una akili sasa?Mtetezi wa wanyonge anakopa hela ili kusaidia wanyonge, elimu bure
yaani...Maendeleo hakuna ila linapaa tu.
Acha udwanzi mtoa mada maana Tunanunua ndege kwa cash. Hahahaha
Wewe hata alopandisha deni humjui? Mimi nmemjibu tu kama ni jiwe... Fala wewe uwe unafiiilia na upande wa pili.Mtoa mada ndo kapandisha deni? Pumbavu
View attachment 1116251
Taarifa kutoka bungeni Dodoma zinaonyesha kwamba deni la Taifa linazidi kusonga mbele kwa kasi kubwa , Waziri wa fedha Dr Mpango ameliambia bunge kwamba kwa sasa Tanzania inadaiwa Trilioni 51.03 kutoka Trilioni 49.86 za April 2018 , ambapo kiasi hicho kimetajwa kuongezeka kwa Trilioni 2.35
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba gharama ya madeni ya ndani pekee inafikia Trilioni 13.25 huku kimbembe cha madeni ya nje kikiwa ni Trilioni 37.78
Mungu ibariki Tanzania .
Shida ni kulipa au unafikiri ni sadakaShida ni nini kama tunakopesheka.???
![]()
Mkuu unatisha! yaani ulivyomjibu kifupi lakini kwa hekima, hata sidhani kama kakuelewa!Naunga mkono hoja