Deni la Taifa lazidi kupaa juu kileleni

Deni la Taifa lazidi kupaa juu kileleni

Jaman mi naisi nchi hii ni yetu sote tunapaswa kujadili namna ya kujikwamua ktk hali hi ya uchumi ktk deni ili,uku jamii f kuna wachumi wengi Sana ila tatzo ni kupewa nafas ya kusikilizwa,tatzo la nchi za kiafrica zimejaa unafiki mwingi wa kutotaka kusikia ukwelo
 
Waongeze hilo deni lifike trilioni 310. ifikie hatua tuheshimiane.
tena tuwaexpose zaidi, IMF Trilioni 50, China Trioni 50, WB Trilioni 50, USA Trilioni 50 EU Trioni 50 wengine Trilioni 50 Ndani trilioni 10. Alafu tuone kama hawatatii kila tunachowaleza.
 
Waongeze hilo deni lifike trilioni 310. ifikie hatua tuheshimiane.
tena tuwaexpose zaidi, IMF Trilioni 50, China Trioni 50, WB Trilioni 50, USA Trilioni 50 EU Trioni 50 wengine Trilioni 50 Ndani trilioni 10. Alafu tuone kama hawatatii kila tunacho
Tutazidi Zimbabwe
 
View attachment 1116251

Taarifa kutoka bungeni Dodoma zinaonyesha kwamba deni la Taifa linazidi kusonga mbele kwa kasi kubwa , Waziri wa fedha Dr Mpango ameliambia bunge kwamba kwa sasa Tanzania inadaiwa Trilioni 51.03 kutoka Trilioni 49.86 za April 2018 , ambapo kiasi hicho kimetajwa kuongezeka kwa Trilioni 2.35

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba gharama ya madeni ya ndani pekee inafikia Trilioni 13.25 huku kimbembe cha madeni ya nje kikiwa ni Trilioni 37.78

Mungu ibariki Tanzania .


Hivi watu hawakomi tu kuvaa bendera!!!
 
Hizi pesa wanakopa wapi????
 
View attachment 1116251

Taarifa kutoka bungeni Dodoma zinaonyesha kwamba deni la Taifa linazidi kusonga mbele kwa kasi kubwa , Waziri wa fedha Dr Mpango ameliambia bunge kwamba kwa sasa Tanzania inadaiwa Trilioni 51.03 kutoka Trilioni 49.86 za April 2018 , ambapo kiasi hicho kimetajwa kuongezeka kwa Trilioni 2.35

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba gharama ya madeni ya ndani pekee inafikia Trilioni 13.25 huku kimbembe cha madeni ya nje kikiwa ni Trilioni 37.78

Mungu ibariki Tanzania .
Ila kuwa fair, linaenda sambamba na miradi!
Ingekuwa ajabu deni linaongezeka ila hamna kinachofanyika.
 
kama ni hivyo tusahau ngojera za maendeleo
 
hivi hilo deni la Taifa tukiwarusha hao mabeberu watatufanya nn??
wa tz woote tutafungwa magerezani ama itakuwaje?!.
 
Back
Top Bottom