Terrible Teen
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 1,233
- 3,541
Dah kwa fikra hizi tumekwisha.Tusiogope kukopa. Barick na mwanaye Accasia tunawadai tril 400+ wakitulipa tutawalipa hao wadeni wetu. Serikali ikope hadi ifike tri 400 ndiyo iache kukopa
Dah kwa fikra hizi tumekwisha.Tusiogope kukopa. Barick na mwanaye Accasia tunawadai tril 400+ wakitulipa tutawalipa hao wadeni wetu. Serikali ikope hadi ifike tri 400 ndiyo iache kukopa
Sioni kama ni shida maana pesa inaonekana kutokana na vitu vinavyoendelea kufanyika. Ingekuwa ni kipindi kile cha RichardMondul hapo ingetushitua. Lakini kwa hili hata wajukuu zetu wakiwa wanalipa watasema kweli pesa ilifanyia mambo ya msingi. Hata akiacha deni limefikia asilimia 10000000000 sawa tu. As long ndoto ya baba wa Taifa itimie.Madeni yatabaki kileleniiiii!!!
Madeni yatabaki kuwa juuuu!!!!
Magufuli oyoooo!!!!
Si mlisema mnatumia fedha za ndani mkuu , sasa hizo za kukopa imekuwaje tena ?Sioni kama ni shida maana pesa inaonekana kutokana na vitu vinavyoendelea kufanyika. Ingekuwa ni kipindi kile cha RichardMondul hapo ingetushitua. Lakini kwa hili hata wajukuu zetu wakiwa wanalipa watasema kweli pesa ilifanyia mambo ya msingi. Hata akiacha deni limefikia asilimia 10000000000 sawa tu. As long ndoto ya baba wa Taifa itimie.
Mimi sijui regression wala hesabu lakini naona ongezeko la 2.35 trillioni kwa mwezi. Ina maana kwa mwendo huu December 2019 zitaongezeka 14.1 trillion na kufanya jumla kuwa 65.13 trillion!
Hivi si wataalamu wanasema ukubwa wa deni ndio ukubwa wa uchumi wa uchumi pia!?
Si mlisema mnatumia fedha za ndani mkuu , sasa hizo za kukopa imekuwaje tena ?
Sio deni la Taifa ni deni la ccm jipangeni kulilipa mali za chama pendwa nyumba zenu kila kitu adi simu wekeni mnadani viuzwe mlipe deni msitutanie.Sioni kama ni shida maana pesa inaonekana kutokana na vitu vinavyoendelea kufanyika. Ingekuwa ni kipindi kile cha RichardMondul hapo ingetushitua. Lakini kwa hili hata wajukuu zetu wakiwa wanalipa watasema kweli pesa ilifanyia mambo ya msingi. Hata akiacha deni limefikia asilimia 10000000000 sawa tu. As long ndoto ya baba wa Taifa itimie.
Inaitwa kusimamia ukuchaView attachment 1116251
Taarifa kutoka bungeni Dodoma zinaonyesha kwamba deni la Taifa linazidi kusonga mbele kwa kasi kubwa , Waziri wa fedha Dr Mpango ameliambia bunge kwamba kwa sasa Tanzania inadaiwa Trilioni 51.03 kutoka Trilioni 49.86 za April 2018 , ambapo kiasi hicho kimetajwa kuongezeka kwa Trilioni 2.35
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba gharama ya madeni ya ndani pekee inafikia Trilioni 13.25 huku kimbembe cha madeni ya nje ( madeni ya mabeberu ) kikiwa ni Trilioni 37.78
Mungu ibariki Tanzania .
Kabisa .Inaitwa kusimamia ukucha
Si ajabu, Sheria ya takwimu inawalinda kusema chochote. Kumbuka wanasema uchumi unakua kwa asilimia 7; IMF wamefanya analysis wakapata Ni asilimia 4 tu; ajabu wakamleta mbongo mwenzao toka ADB aulinde uongo wao!!!!Hivi inawezekana deni likawa zaidi ya hilo,mfano trilion 80 ila tukafichwa???
Aiseee !Si ajabu, Sheria ya takwimu inawalinda kusema chochote. Kumbuka wanasema uchumi unakua kwa asilimia 7; IMF wamefanya analysis wakapata Ni asilimia 4 tu; ajabu wakamleta mbongo mwenzao toka ADB aulinde uongo wao!!!!
Ohooooo !Deni letu litabaki kuwa kileleni... Kama konki[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji44]
Hatutawapigia magoti mabeberu - KabudiWacha tuisome namba