Demu wangu mpya anatema cheche


eeh!huu ushauri ungemtumia kwa Pm.manake du..hope utawasaidia
 
hharufu ya mwili wa mtu inategemeana na mlo;
mwambie aache kula vyakula vy chumvi nyingi sana na badala yake ale matunda mengi, mboga mboga na maji kwa wingi.
pia nafikiri harufu ya kikwapa inaweza uondoshwa kwa kusugua kwa maganda ya ndimu kwenye kwapa na ngozi ya mwili baada ya kuoga.
 
Omba Mungu mbona simpo tu, hakuna lisilowezekana kwake,
 
Ili kumaliza tatizo lako anza kwanza kwenda kwa watoa ushauri nasaha wakushauri na baadaye mpeleke huyo demu wako kwa daktari bingwa wa magonjwa ya kinamama.
 
Pole sana kaka,unajua nini kaka,
Kwanza mfundishe kuoga vizuri kuna mtu hapo juu kaelezea vizuri sana swala ya kujisafisha kwa kidole hado ahakikishe uchafu umeisha wote,
2.Mnunulie kama zawadi deodorant ya Shower to shower chagua ya rangi ya pink au blue hii ni sh.2500-3500 tu inategemea umenunua wapi.nakushauri hii maana ni alcohol free na hamkeri mtu hata wewe uliyekaa pembeni hauta kereka na hiyo harufu nzuri ya hii product ya shower to shower,
sasa wewe mnunulie kama 5 hivi atatumia muda mrefu hata yeye mwenyewe atajipenda na hata siku zikiisha atatafuta mwenyewe.
3.Mdomo mnunulie mouth wash kama mbili kama ulivyoshauriwa hapo juu,
Nakuambia fata ushauri huu then come back with the result baada ya miezi miwili
 

Nenda kamuone mtaalamu wa magonjwa ya kina mama!!!
 
Bujibuji...harufu za aina hiyo ni za kuzaliwa nakushauri ujipange upya....au kubali matokeo....
 
Yaani watu wengine bwana! Mtoto anakupenda halafu wewe unamnyanyapaa. Wewe humpendi mwanzako, vinginevo usingesikia hata hiyo harufu. Ukiona bado pua zinfanya kazi barabara basi ujue hujapenda wewe mtu! Changamka au achia ngazi.
 
My sweet mwali ananipenda kwa dhati
hehehehe hayo ni mateso bila jasho! mwambie akamwone daktari muhimbili au agakhan
 
Vicks katikati ya mdomo na pua itakusaidia. Nunua vikopo kadhaa, ukimuona tu, we pakaza haraka mambo yatakuwa shwari!

...Duh! Haya maushauri mengine unaweza kupoteza uhai hivi hivi...........Kaaazi kweli kweli
 

Mmh! hii hatari sasa atakuwa anaumwa siyo bure. Ndugu una moyo sana!
 
Nunua handkerchief naamini bado ni shingi 100/=
 

Du umeniaribia siku kabisaa...mtindi huko chini....aaah!
 
mmmmh?
 
demu ananuka hiyo nayo kali!!! sasa wewe hua unafurahia uchafu au nini, maana hata chumvini hutaenda, ulimi mdomoni hutaingia, sasa utafurahia ini mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…