Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,471
Mnhhhhhhh
Njoo na wewe kulala kwangu nikuibie zile $500 zilizokuwa kwenye wallet.
Mnhhhhhhh
katavi hata wewe mkuu?!Buku tano tu unalalamika.....!!
mbona umempa nyingi wakati yeye kaibiwa/kapoteza 5,000/- tu?
dogo anaucungu aisee buku tano yake
katavi hata wewe mkuu?!
Kaisha sema sio wote wenye nazo...
Ingawa two wrongs does not make a right (na yeye amekosea kuja kuanzisha uzi hapa) ila kama kweli amechukua bila kuomba au kutoa taarifa huo ni wizi (na wizi ni tabia haijalishi kiwango) inabidi ukiwa na shida unasema nimechukua pesa fulani sababu yule aliyechukuliwa anaweza kudhani kaibiwa sehemu nyingine kumbe ni udokozi wa mtu mwingine
Leo na wewe msachi umuibie iwe moja moja.[/QUOT
Mkuu me jina lako tu mbavu sina!!!!hahahahahaha.
ameiba au amechukua? mwanaume mzima unakuja kulalamika humu eti umeibiwa buku 5! majanga! chumba atafute yeye, kodi alipe mwenyewe, kitanda anunue mwenyewe godoro na mashuka kanunua mwenyewe wewe unapeleka map.........bu yako tu na ka elfu 5 mfukoni! ila sikulaumu sana inawezekana wewe si mwanaume ila ni mtoto wa kiume. elfu tano unaanzisha uzi hapa! nimesikitika sana ungekuwa karibu ningekuzaba kofi
mwanangu mkareeeeHilo ni tunda kutoka kwa mtoto wa kaskazini...
Ni PM tu.. usijali nitakujulisha kila kitu.
NB;
Nina mpango wa kwenda kuanzisha uzi kule jf photo, ni mpambanishe na huyo wako tuone yupi ni mrembo, unaniruhusu?
sasa umeibiwa buku tuu unalalamika, Je ukiibiwa Figo au Moyo utasemaje?
mwanangu mkareeee
huwa unamgong mara ngapi kwa siku?hapana mkuu kwa alichofanya ilhali anajua kazi zangu imeniuma,simwambii kitu kabisa