Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,514
Huyu demu nilisoma naye shule ya sekondari miaka kadhaa iliyopita basi tukaja anzisha group la whatsapp naye akawemo na mwishowe tukawa tunachat kama old school mates.hatukuwahi kuwa wapenzi.
Basi akaanza kunambia kuwa anataka tuonane.karibia week mbili nzima ananambia tuonane.mimi sikuwa tayari coz mambo mengi na ninaogopa nisije nikaanza naye uhusiano sababu ni demu mzuri.basi siku moja nikamwambia nipo tayari anambie tuoane wapi.
Akanambia nimfuate mida ya saa moja mitaa flani hivi kiwanja basi nami nikavaa simple tu jioni nikaenda eneo husika nimefika nikamkuta amekaa kasehemu tulivu kana mwanga hafifu halafu mbali na wananchi wengine.nikawaza tu huyu demu atakuwa na jamb nyeti sana hasa ukizingatia alivyosisitiza tuonane.basi nikavuta kiti nikakaa.
Punde si punde akaja mhudumu maana kwa lile eneo kuna mhudumu maalum akaja kuniambia kinywaji ninachotaka mi sikuwa mfujaji nikaagiza kinywa cha thaman ya tsh 2500 basi yule mhudumu akawa anataka alipwe kabisa ili aende kaunta kuchukua kinywaji.
Huyu demu badala anilipie yeye ndo kaniita akawa anatoa tu mijicho yake kama tungule bahati nzuri nami nilikuwa nimebeba 10,000 kama dharura.ikabidi nitoe hiyo pesa kulipia kinywaji lile demu jinga kabisa limeniita halafu linataka mimi nijigharamie wakati ni mwaliko wake lenyewe? likawa tayari limeshanitibua. basi nikicheck halina stories linaleta tu stories za kazini kwao, mara shule kuwa alipomaliza form 3,akaingia form four akamaliza akaingia kidato cha tano ,basi mwaka uliofuatia akaingia cha sita.
Mi akawa tayari ameshanichanganyia mahesabu kama vile haitoshi ananambia niende kwake muda huo nikapafahamu imagine saa mbili kasoro.nikawa namsikiliza tu baadaye namwambia basi mi nataka kuondoka... ananambia "aaaiii jamani hutaki hata kukaa nami" wakati mimi sioni la maana na tayari keshanitia hasara so anataka awe ananitumbulia mijicho yake tu huku mimi naumia kiuchumi.
Mademu , unapomwalika mtu unatakiwa kugharamia wewe huo mtoko siyo unamwalika mtu halafu kumbe unamwalika aje akulishe akunyweshe ili ukamlipe K? huo ni utahira mi sitaki kabisa hizo issue kama unataka kunipa K nipe tu siyo eti nikugharamie then ndo ukanilipe kwa Kthubutu utaishia kuniona mi bahiri ndiyo acha niwe bahiri lakini sinunui na sihongi ili nipate k.
Nililiaga hilo li demu la uswazi nikaondoka na namba yake nika delete baadaye likapiga simu nikaliuliza "nani mwenzangu" kwa hasira likakata simu nami nikashukuru kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.
Basi akaanza kunambia kuwa anataka tuonane.karibia week mbili nzima ananambia tuonane.mimi sikuwa tayari coz mambo mengi na ninaogopa nisije nikaanza naye uhusiano sababu ni demu mzuri.basi siku moja nikamwambia nipo tayari anambie tuoane wapi.
Akanambia nimfuate mida ya saa moja mitaa flani hivi kiwanja basi nami nikavaa simple tu jioni nikaenda eneo husika nimefika nikamkuta amekaa kasehemu tulivu kana mwanga hafifu halafu mbali na wananchi wengine.nikawaza tu huyu demu atakuwa na jamb nyeti sana hasa ukizingatia alivyosisitiza tuonane.basi nikavuta kiti nikakaa.
Punde si punde akaja mhudumu maana kwa lile eneo kuna mhudumu maalum akaja kuniambia kinywaji ninachotaka mi sikuwa mfujaji nikaagiza kinywa cha thaman ya tsh 2500 basi yule mhudumu akawa anataka alipwe kabisa ili aende kaunta kuchukua kinywaji.
Huyu demu badala anilipie yeye ndo kaniita akawa anatoa tu mijicho yake kama tungule bahati nzuri nami nilikuwa nimebeba 10,000 kama dharura.ikabidi nitoe hiyo pesa kulipia kinywaji lile demu jinga kabisa limeniita halafu linataka mimi nijigharamie wakati ni mwaliko wake lenyewe? likawa tayari limeshanitibua. basi nikicheck halina stories linaleta tu stories za kazini kwao, mara shule kuwa alipomaliza form 3,akaingia form four akamaliza akaingia kidato cha tano ,basi mwaka uliofuatia akaingia cha sita.
Mi akawa tayari ameshanichanganyia mahesabu kama vile haitoshi ananambia niende kwake muda huo nikapafahamu imagine saa mbili kasoro.nikawa namsikiliza tu baadaye namwambia basi mi nataka kuondoka... ananambia "aaaiii jamani hutaki hata kukaa nami" wakati mimi sioni la maana na tayari keshanitia hasara so anataka awe ananitumbulia mijicho yake tu huku mimi naumia kiuchumi.
Mademu , unapomwalika mtu unatakiwa kugharamia wewe huo mtoko siyo unamwalika mtu halafu kumbe unamwalika aje akulishe akunyweshe ili ukamlipe K? huo ni utahira mi sitaki kabisa hizo issue kama unataka kunipa K nipe tu siyo eti nikugharamie then ndo ukanilipe kwa Kthubutu utaishia kuniona mi bahiri ndiyo acha niwe bahiri lakini sinunui na sihongi ili nipate k.
Nililiaga hilo li demu la uswazi nikaondoka na namba yake nika delete baadaye likapiga simu nikaliuliza "nani mwenzangu" kwa hasira likakata simu nami nikashukuru kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.