Demu akikublock kwenye simu kisa ahadi

Demu akikublock kwenye simu kisa ahadi

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,157
Reaction score
2,663
Hili limewapata wengi, kuchelewa tu kutimiza ahadi anakublock na anakwambia hahitaji kukuona tena...nini dawa ya huyo?
 
Hili limewapata wengi, kuchelewa tu kutimiza ahadi anakublock na anakwambia hahitaji kukuona tena...nini dawa ya huyo?

Mkuu kesi dizaini hii imenitokea juzi. Nimechelewa kutekeleza ahadi akaniblock. Nilipotekeleza ahadi ndio akanitoa kwenye blacklist yake. Nimepanga kumwaga hivi karibuni. Dawa ni kumuacha ukigundua hilo.
 
Ahadi ya kumpa kitu ama unaongelea miadi ya kuonana? Usikubali kuwa manipulated, na umsome mwenzio umjue tabia yake. Na wewe kama huna hakika unaahidi ili iweje? Kama umekwama si ungemueleza tu. Ila kama Yuko obsessed na vitu namna hiyo hafai kuwa mke huyo
 
Ahadi ya kumpa kitu ama unaongelea miadi ya kuonana? Usikubali kuwa manipulated, na umsome mwenzio umjue tabia yake. Na wewe kama huna hakika unaahidi ili iweje? Kama umekwama si ungemueleza tu. Ila kama Yuko obsessed na vitu namna hiyo hafai kuwa mke huyo
Ushauri mzuri
Hivi King'asti umeshaolewa?samahani lakini natafuta mke
 
Last edited by a moderator:
Hili limewapata wengi, kuchelewa tu kutimiza ahadi anakublock na anakwambia hahitaji kukuona tena...nini dawa ya huyo?

Acha kupoteza muda kumfikiria huyo, alivokublock wewe ujue ana altenative nyingine, yaani wewe ni mmoja tu katika list hivyo ameona hauna faida kwake na unamsumbua tu kumpigia, chapa lapa babu hayo mambo ya kubembeleza mtu asiyeeleweka yalishapitwa na wakati. Tena hata ukikutana naye we msalimie endelea na hamsini zako usimuulize kitu, fanya kama you dont give a fk!
 
Hivi nyie wanaume wenzetu sijui wavulana wengine mkoje jamani????!!!!
Au ni umri????!!!!

Unasumbuliwaje kijuha hivyo???!!
Au Marioo unatunzwa so unahofia maisha???!!!
 
Muwacheeee!
nilimjibu yule aliekuwa anamlilia kakake aliekimbilia kubeba boksi na urithi ukaniwashia. Acha mwenzio awehuke. Mie tu nisipopokea simu ya paw kutwa nzima anaweza akazima server ya jf hapa. Chezeiya makopa��������������
Hivi nyie wanaume wenzetu sijui wavulana wengine mkoje jamani????!!!!
Au ni umri????!!!!

Unasumbuliwaje kijuha hivyo???!!
Au Marioo unatunzwa so unahofia maisha???!!!
 
ahadi ni nia since when?,?????
mpaka unatoa ahadi means una uwezo wa kutimiza ahadi ni deni na usipotimiza unajipunguzia vigezo atiii

Mtu ana ahidi sababu ana nia sasa mvurugiko wa maisha unapoingia vipaumbele vinabadilika hivyo sasa mtu aache kumtumia mamake Calcium Sandoz alizoandikiwa punde ati akuletee hela ya nguo ya kitchen party!!!!!!!

Au mamake kateguka shingo kwa kubeba kuni anatakiwa collar wewe unaleta shobo za kukomaa na mambo ya kupendezesha mrembo!!!!!!

Ukiwa hivi huolewi maisha haya na mwanaume anayejitambua au laaa be ready for pretenders!!!!!
 
Back
Top Bottom