The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,653
Jana niliona kwenye news Marekani wataacha kutoa misaada
South Africa ya madawa ya ARV kwa waathirika
kiukweli mwisho wake wataacha kabisa hata kwa nchi zingine
kwa ujumla Obama amepunguza misaada kwa nchi za Africa mno
George Bush alitoa misaada mno na ndo alianzisha programme
maalum za kusaidia wagonjwa wa HIV Africa
Clinton na Obama jumla ya misaada yao Africa haifiki hata robo ya Bush
na ukiacha hilo hata VISA za kuingia Marekani kusoma au kutalii tu
chini ya Bush ni zaidi ya mara mbili chini ya Obama
huwa waafrika tuna kawaida ya kuwafagilia Democrats but
mostly ni chama cha maneno meengi na propaganda but hawana
lolote kiutendaji
data zinaongea ukweli......Bush was way better than Obama kwa Africa
South Africa ya madawa ya ARV kwa waathirika
kiukweli mwisho wake wataacha kabisa hata kwa nchi zingine
kwa ujumla Obama amepunguza misaada kwa nchi za Africa mno
George Bush alitoa misaada mno na ndo alianzisha programme
maalum za kusaidia wagonjwa wa HIV Africa
Clinton na Obama jumla ya misaada yao Africa haifiki hata robo ya Bush
na ukiacha hilo hata VISA za kuingia Marekani kusoma au kutalii tu
chini ya Bush ni zaidi ya mara mbili chini ya Obama
huwa waafrika tuna kawaida ya kuwafagilia Democrats but
mostly ni chama cha maneno meengi na propaganda but hawana
lolote kiutendaji
data zinaongea ukweli......Bush was way better than Obama kwa Africa