The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,653
- Thread starter
- #21
Mkuu lini mtaacha kuitegemea serikali tena ya nchi nyingine?????
Aliesema tuitegemee nani?
mimi nasema wao kujitangaza kuwa
watu wa kuisaidia Africa huku wanafanya kinyume ni unafiki
bora wanyamaze
halafu nimezungumzia watu kuwa na pesa ya kusoma Marekani
na kunyimwa visa while wanajitangaza dunia nzima kuwa na best colleges
na wanaruhusu watu wa nchi zingine bila vikwazo
mfani Israel