GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
Kwahiyo wewe hiyo unaona ni sawa??Mtoto mdogo unajua nini wewe ! Mimi nimesoma na watu wameoa darasa la kwanza. Mtu yuko 25 yrs. Na nimemaliza darasa la saba na watu wapo 30's !
Akili za kunguru hizi!