kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,069
- 1,716
Jamani hivi mnaionaje degeree ya miaka hii??
Mimi naona kama imechuja sana haina makali kama miaka ya nyuma, uzito wa degree ya sasa inavyochukuliwa mtaani ni sawa na uzito wa anaehitimu form six miaka ya nyuma
Nyie mnaonaje wadau??
Mimi naona kama imechuja sana haina makali kama miaka ya nyuma, uzito wa degree ya sasa inavyochukuliwa mtaani ni sawa na uzito wa anaehitimu form six miaka ya nyuma
Nyie mnaonaje wadau??