Degree/advanced Academic certificates

F.c.mwanzi

Member
Apr 1, 2013
65
17
Habari zenu wadau; nimeleta uzi huu ili nipate kufahamishwa zaidi.Hivi ni vyuo vyote hutowa academic certificates mwezi wa 3 au mwezi wa 4,na Transcipts mwezi wa 11 ??? kama chuo cha SAUT kinavyo fanya. Binafsi huu utaratibu unanikela sana coz tunashindwa kutuma maombi ya kazi hasa zile za serekali kwa kutokuwa na hivyo vyeti ni bora wangekuwa wanavitoa huo mwezi wa 11 siku ya graduation wanapotoa na academic Transcpt.
 
hahaha...nakumbuka wkt namaliza transcript ndo baaadoo afu kazi kibao za serikali zikatoka niliumiajee....apo ni kuvuta subira tu waliomaliza miaka ya nyuma nao wapate...ur time will come
 
dah! kua mpole kaka, kwa graduates wa 2013 kutuma maombi ni kuzinufaisha tu posta maana hawa watu wa serikaln+PCCB wanataka vyeti na cyo statement of result. lets be calm, muda wetu unakuja
 
kuwa mvumilivu,mie nimemaliza TIA 2011 june,na transcript nikapata 2012 january. CHETI kikatoka 2012 august!. c lazima uombe hzo kazi za pccb kwani zitatoka nyingine nyingi tu..
 
anza kusoma chuo kianachotoa siku unapomaliza. ili siku unamaliza wakupe makaratasi yako siku hiyo hiyo
 
Duuuuh! Inamaana statements of result hazitakiwi? Aaaah! Mi' naomba hivyohivyo,
 
Duuuuh! Inamaana statements of result hazitakiwi? Aaaah! Mi' naomba hivyohivyo,
 
kuwa mvumilivu,mie nimemaliza TIA 2011 june,na transcript nikapata 2012 january. CHETI kikatoka 2012 august!. c lazima uombe hzo kazi za pccb kwani zitatoka nyingine nyingi tu..



Mkuu uko sawa

Nchi hii inahitaji nguvu kazi kila sekta sio huko tu
 
Back
Top Bottom