Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,773
wadau mambo vipi! naomba mnijuze decoder nzuri nina dishi la zuku, wameniboa sana sasa natafutia receiver nyingine ya free chanels. Nimejaribu kuweka media com kwa dishi hiko, sasa napata chanels za kenya safi ila nataka chanels zaidi hasa soka! mnijuze na kwa kuzipata hizo decoder pia!