December Kipindi Cha Magufuli Mshahara tar 19

December Kipindi Cha Magufuli Mshahara tar 19

Wafanyakazi acheni uzembe,
Mtalipwa mida unaostahili, sio muda mnaotaka,
Mishahara hutoka tarehe 23/12, subirien hapo, tujifunze kuishi kwa sheria sio uswahili
 
Hata kama talipwa tarehe 45 sitautamani uongozi wa Magufuli.
Siwezi kutamani uongozi wa mtu aliyeutesa utumishi wangu kwa miaka 7.
Samia kuingia tu March, June nikapanda daraja. Kwa msiojua ukipanda daraja mshahara unaongezeka zaidi ya laki 2.
Magufuli aoze salama.
Alikutesaje?
 
Hata kama talipwa tarehe 45 sitautamani uongozi wa Magufuli.
Siwezi kutamani uongozi wa mtu aliyeutesa utumishi wangu kwa miaka 7.
Samia kuingia tu March, June nikapanda daraja. Kwa msiojua ukipanda daraja mshahara unaongezeka zaidi ya laki 2.
Magufuli aoze salama.
Amen, naimani Yuko anateketea
 
Badala kuomba mikopo hazina ili iwakwamue kiuchumi mnalilia mishaharara.

Watumishi wengi wanaumizwa na Mikopo umiza a.k.a kausha damu, Serikali kupitia wizara ya Fedha inapaswa iwakwamue kuondokana na mateso ya mikopo umiza.
 
Badala kuomba mikopo hazina ili iwakwamue kiuchumi mnalilia mishaharara.

Watumishi wengi wanaumizwa na Mikopo umiza a.k.a kausha damu, Serikali kupitia wizara ya Fedha inapaswa iwakwamue kuondokana na mateso ya mikopo

Badala kuomba mikopo hazina ili iwakwamue kiuchumi mnalilia mishaharara.

Watumishi wengi wanaumizwa na Mikopo umiza a.k.a kausha damu, Serikali kupitia wizara ya Fedha inapaswa iwakwamue kuondokana na mateso ya mikopo umiza.
Sema hata hii mifuko ya penshen kwa watumishi, wangeweza kuja utaratibu mzuri wa kuwakopesha wanachama wao kwa riba ndogo sana, mbona wao wanajikopesha? Washindwa nini kuwakopesha ili hali ni wanachama na wanachangia kila mwezi, kama kwenye vikoba watu wanakopeshana why mifuko hii,

Mifuko imejikita kuwekeza kwenye mamiradi ya ajabu ajabu na ufisadi juu badala ya kuwekeza kwa wanachama wao, wakati wanachama ndo wenye mifuko iyo ila walioajiriwa kwenye mifuko husika wanakula maisha huku wanacha ma wenye pesa zao wakiwa hoi huku wakiendelea kukamuliwa kila mwezi

Pakiwepo na vyanzo vingi ya kukopesha watumishi kwa riba nafuu mtumishi anakua na option , hata hazina je wapo na uwezo wa kukopesha watumishi wote nchi hii,

Waziri wa kazi na ajira ,haya ndo mambo anatakiwa kuyaangalia kwa jicho la karibu sio kukaa kusifia na kuzunguka kwenye viti
 
Back
Top Bottom