Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
- Thread starter
- #41
mnhhhhhh ni vizuri ku flirt...ila ukienda Zaidi ya hapo,usiseme hatukukwambia...bye.
Hahahahhahaaa ilisemwa na ilionywa na ilitahadharishwa kwa umma kuwa; Kila mtuna ajiponye nafasi yake mwenyewe.....
Haikuonywa mtu aponye / aokoe nafsi ya mwingine.
Dadii pia alishaniambia nikiendelea zaidi nisijemwambia kuwa hakuniambia....
Kasie Mtata.
