MkuluTess
Senior Member
- Jan 15, 2018
- 110
- 91
Tatizo atatupa tabu baadae sisi wambeya kufukua makabuli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu mbona unataka kufukua makaburi ya marehemu wa vita vya Maji Maji..!?
Stress mbaya sana... Xmas wishes from ......
Hivi kwa mfano huyo Dadiiii akakuacha utabadili na Jina maana hata kwa Smart ilikuwa hivi hivi japo siombei itokee.
Hongera dada nimeandika si kwa ubaya sorry kama nimekukwanzaID yako inasomekaje kwa kuvuta sauti?? Halafu mwisho wa kina lako weka mtu.
Huyo uliyemtaja alitumwa makusudi kuvuruga ila hakufanikiwa.....
Maisha yamerudi palepale.... Dadii and Kasie for life.
Ina maana dadii alikuwepo kabla ya yule mwingine wa humu hau post za humu zilinipeleka chaka..? Anyway Heri ya krismasi na mwaka mpya