Dear Miss Leejay49

Dear Miss Leejay49

Mtu yoyote anayefungua nyuzi za hivi ni mambo anayo yapenda.......
Sababu ungeweza kuignore tu na kisitokee kitu.
Awe serious awe anatania ni yeye, wewe mtu wa tatu unaumia nini?

Worst case scenario
Ni kweli jamaa yupo desparate, anateswa na Mapenzi, ni domo Zege na yupo serious anamtaka Binti.

Sisi watu baki tunaumia nini? Havunji sheria za Nchi wala za JF.
Tatizo nini ? Mpaka tunatokwa povu?
Kujipa umuhimu?
Tumejigeuza Standard au manual ya Namna ya kubehave humu ndani.
Nachofahamu ili ufungue nyuzi ni lazima ikuvutie, imekuvutia Umefika ndani unaanza kuponda.
We ulivyofungua ulitegemea kukuta nini?
 
Umesha logoff akaunt id yako mpya ya switi-kande? Lamomy mchukue menta wako
Weer ni masikini vizinga vinahela viache vitambe na chizii wako ni mama yako maana amekuzaa masikini unanuksi yakuzaliwa na mama kichaa ndio maana huoi kazi kudanga jianaume zima lina omba vocha chefu . Sura sasa baya baya kama limepigwa na radi .
 
Punguza kufuatilia mambo yanawezekana yakawa yanakukera lakini hayakuhusu, Kama jambo unaona linakukera tafuta namna ya kulijibu sio unajibu kwa mihemko na jaziba
Achana nao japi uliniitaga malaya ila umeshapenda tulia uoe maisha nikujenga umejenga au mtaenda kupangisha unagari au ndio unatumia bolt magari ya wenzako kwa mwezi unauwezo wakuingiza sh. Ngapi rafly yaani hiyo ni ya chai tu .

Inaonyesha unarasha rasha yakutishia wenzako je unazo kweli ?? Mpaka iwe mafuriko ya hanang?? Unajua mie ndio msimamizi wa harusi. Je unaweza inshu ngapi kwa siku nzima ukiamulia isije mtu akarudisha mabegi huwezi.
 
Weer ni masikini vizinga vinahela viache vitambe na chizii wako ni mama yako maana amekuzaa masikini unanuksi yakuzaliwa na mama kichaa ndio maana huoi kazi kudanga jianaume zima lina omba vocha chefu . Sura sasa baya baya kama limepigwa na radi .
Eeehhhhh!!!
Hiz sifa ulizonipa Amehlo ndiye mwanasheria wangu wa kuzithibitisha
😂😂😂😂😂😂
 
Manyanza begi za nguo ngapi unayo? una dstv maana kama unayo unatutisha nyie ndio mashemeji wa kujiona much no na huku meeta onyo shipina lesiu loota ngik kumok enjeba olng'ink enguk piu. Miata olbastola iata olnjelele 🤣☝️☝️heri ikawe kwenu siadi lesiu
 
Back
Top Bottom