min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,457
- 127,875
Kabisa mkuu.Ahahahahah..usipopambana et? Mwachen kijana wa watu apambane
Kabisa mkuu.Ahahahahah..usipopambana et? Mwachen kijana wa watu apambane
Ukisema dada mkubwa, mimi ni nani hadi nipinge😂😂Oooh so cute.😂😁😁
Ni dada mtulivu asiyejua fujo mkuu ila kuna kaka yangu humu nataman yeye ndo amuoe Leejay nahisi watafaana kweli.
ulihitajika nikakuita, karibuMimi hapa
😁😁hahahahahahahaha
Wanazingua sio kidogo. Jitu linakaa kuandika maneno meengi, lakini pm wanashindwa kwenda. Sijui wanafeli wapi aiseeSio huyu walio wengi humu ni either watoto au waoga sana, hii kujichekesha ndio huwa last option kwao ukiwabana kama hivi ndio anakimbilia kusema usichukulie serious, wakati migenye inamsumbua ana stress za mahusiano kama zote
👊👊ulihitajika nikakuita, karibu
Acha ugomvi, isije wewe na kaka yako huyo (kama sio mimi) mkajikuta majeruhi 😂Oooh so cute.😂😁😁
Ni dada mtulivu asiyejua fujo mkuu ila kuna kaka yangu humu nataman yeye ndo amuoe Leejay nahisi watafaana kweli.
aje akununulie hermes au channel asijifanye ng’weng’weNakazia kwa sauti kuu😂😂
Nadhani amekusikia vizuri sana 😃
Hakika jirani 🤣🤣🤣Huu mwaka huu inaonekana utakua mrefu sana 😂😂
😂😂😂😂 jirani yangu ukisema mimi ni nani hadi nipingeHakika jirani 🤣🤣🤣
Ila zingatia ushauri wangu 🤣
Tulizana tu mamii, hiz habar zote ni ndogo sana. Kaa kwa pozi usipate tabu hata. Amehlo mimi sina show mbovu, kila kizur kilichoko kwenye market, please mpe wifi yako Lee kipaumbele na invoice zinifikie kwa wakat asije akakasirika, sitafurah akinunaNakazia kwa sauti kuu😂😂
HahahahahaJamaa aonewe huruma ana kiu Sana, Hadi anaomba kwa kiingereza.
Kijana amekuelewa,ana kitu msikilizew...Hakiii wanaJf kuna makasiriko,, nimecheka hadi kupaliwa![]()
Unafosi kwa nani 🤣🤣🤣Jirani yako nafosi sana ila naangukia pua, nipe mbinu 😅
😂😂😂😂😂anza na vilivyopo leo😂😂 namba inayopokea hela unaijuaTulizana tu mamii, hiz habar zote ni ndogo sana. Kaa kwa pozi usipate tabu hata. Amehlo mimi sina show mbovu, kila kizur kilichoko kwenye market, please mpe wifi yako Lee kipaumbele na invoice zinifikie kwa wakat asije akakasirika, sitafurah akinuna
🤣🤣🤣🤣🤣 Hivi yale maji yaliyokuwa kwenye gari hayakuwa na mchanganyiko wowote kweli..???Sio huyu walio wengi humu ni either watoto au waoga sana, hii kujichekesha ndio huwa last option kwao ukiwabana kama hivi ndio anakimbilia kusema usichukulie serious, wakati migenye inamsumbua ana stress za mahusiano kama zote